Ni lazima Mikel Arteta atimuliwe ili Arsenal isishuke daraja

Tulivyokwambia hujui mpira hukuelewa ila utajifunza kutolopoka siku nyingine.
 
Sawa tunakusubiri[emoji23]
 
Tulivyokwambia hujui mpira hukuelewa ila utajifunza kutolopoka siku nyingine.
Kuna watu wa kusikiliza kwenye mpira ila sio huyu mleta mada. Hii JF kila mtu ana sekta yake ya kutoa maoni na kuchambua.
 
Hebu rudia tena
 
Arsenal anaweza kuwa bingwa iwe kinyume na ulichoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…