Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HautafutwaSi ufute tu huu uzi[emoji1]
Sawa tunakusubiri[emoji23]Huu ndio ushauri ninaoupeleka kwa Bodi ya wakurugenzi ya Arsenal, Washabiki na wapenzi wao.
Arteta hana uwezo wowote wa kufundisha timu kubwa kama Arsenal, hana kitu na wala uwezo wake hauna tofauti na Kuku kishingo, bila kumuondosha huyu kocha Arsenal itashuka daraja, kama mnabisha subirini.
Kuna watu wa kusikiliza kwenye mpira ila sio huyu mleta mada. Hii JF kila mtu ana sekta yake ya kutoa maoni na kuchambua.Tulivyokwambia hujui mpira hukuelewa ila utajifunza kutolopoka siku nyingine.
Hebu rudia tenaHuu ndio ushauri ninaoupeleka kwa Bodi ya wakurugenzi ya Arsenal, Washabiki na wapenzi wao.
Arteta hana uwezo wowote wa kufundisha timu kubwa kama Arsenal, hana kitu na wala uwezo wake hauna tofauti na Kuku kishingo, bila kumuondosha huyu kocha Arsenal itashuka daraja, kama mnabisha subirini.
futa banaa,Arsenal ni [emoji313]Hautafutwa
Huyu anachoweza Ni uchawa kwa mboweHuyu anachoweza ni kuleta update za Wabunge wao wa covid 19, huku awaachie wengine
Huyu mropokaji tu, uropokaji wa kwenye siasa anauleta kwenye mpiraTulivyokwambia hujui mpira hukuelewa ila utajifunza kutolopoka siku nyingine.
Wewe utakuwa mchawi sio bure
Ata siasa hajui kitu huyuHuyu mropokaji tu, uropokaji wa kwenye siasa anauleta kwenye mpira
Ww ni mboyoyo kwenye kila kitu. Hamna kitu unajuaHamna kocha humo , ni bahatisha ndulute tu
[emoji3516][emoji3516]Arsenal mjenge timu labda baada ya miaka mitatu mtaanza kuwa washindani wa EPL.