Pre GE2025 Tundu Lissu afafanua No Reform No Election, hatuzungumzii kususia uchaguzi na hatutasusia bali Uchaguzi hautofanyika!

Pre GE2025 Tundu Lissu afafanua No Reform No Election, hatuzungumzii kususia uchaguzi na hatutasusia bali Uchaguzi hautofanyika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054

Leo mheshimiwa Lissu amelihutubia Taifa na kulieleza hatua kwa hatua juu ya uamuzi wa chama cha CHADEMA kuwa KAMA HAKUNA MABADILIKO YA MSINGI KWENYE KATIBA NA SHERIA zinahosu uchaguzi nchini basi CHAMA hicho HAKITAKUBALI Uchaguzi feki ufanyike nchini mwezi october 2025.

Akiongea kwa nukta, huku akieleza kwa takwimu na mifano halisi, Lissu amewafumbua macho watanzania kuwa PROCESS nzima ya Tanzania inayohusika na uchaguzi haiwezi kutoa uchaguzi huru na haki, na ushahidi wa hilo ni chaguzi nyingi zilizopita toka mwaka 1995.

Lissu akaeleza kuwa kwa sasa nchini HAIWEZEKANI kamwe kukawa na uchaguzi wo haki, maana CCM imeondokewa na haya kabisa.

Ndugu Lissu akaainisha matatizo kuanzia.

1)Daftari la Mpiga kura ambalo utaratibu wa kuliupdate na kupata taarifa zake inakuwa ni tabu.

2)Magumashi kipindi cha ratiba za kampeni na uhuni mwingi kwa mfano kipindi cha kampeni vyombo vya habari vya umma huwa vinageuka Mouthpiece ya CCM. Havina fairness yoyote.

3) Akazungumza kuhusu magumashi kwenye kuwaengua wagombea wa upinzani.

4) Akazungumzia magumashi kwenye kuwaengua mawakala wa kusimamia uchaguzi wa vyama vya upinzani.

5) Akazungumzia magumashi kwenye kupiga kura
kama vile maboksi ya kura kuchukukuliwa na mapolisi chini ya mtutu wa bunduki na ukisimama ktk njia yao wanakupiga risasi.

6)Akazungumza kuhusu kura feki ambazo CCM wanajiongezea, mfano mwaka 2020 kuna zaidi ya kura milioni 2, ziliongezeka kinyume na idadi ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura.

7)Akazungumza juu ya wateule wa NEC na wasimamizi wa uchaguzi ambao kimsingi ni watu wa rais ambaye ni mgombea pia.

Lissu akahoji wanaCHADEMA wenye kutaka kugombea, kuwa unawezaje kugombea ktk mazingira kama haya wakati unajua unapeleka kichwa chako ili uchinjwe?.

Lissu akawataka viongozi wa dini na taasisi nyingine nchini ziiunge mkono CHADEMA kwenye azma yake ya kuhakikisha sasa ndiyo mwanzo na mwisho wa chaguzi feki nchini. Akasema hii ni nchi yao pia wana wajibu wa kuhakikisha haki inatamalaki nchini.

Kisha akasema kuwa NO REFORMS NO ELECTION ( Bila mabadiliko ya msingi nchini, basi uchaguzi haufanyiki) ni UAMUZI wa kikao cha juu kabisa cha chama yaani mkutano mkuu cha tarehe 21/1/2025. Kwa hiyo siyo maamuzi yake binafsi yeye kama yeye.

MY TAKE:
Lissu sasa ametuonyesha njia njema, tumemuelewa na tunamuunga mkono. Kwa kweli kuingia kwenye chaguzi huku ukijua unaenda kushiriki uchafuzi ni ujinga, ni kupoteza muda, ni kupoteza hela, kodi za wananchi. Sisi tunaunga mkono wa kupata KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI.

Soma Pia:
 
Leo mheshimiwa Lissu amelihutubia Taifa na kulieleza hatua kwa hatua juu ya uamuzi wa chama cha CHADEMA kuamua kua KAMA HAKUNA MABADILIKO YA MSINGI KWENYE KATIBA NA SHERIA zinahosu uchaguzi nchini basi CHAMA hicho HAKITAKUBALI Uchaguzi feki ufanyike nchini mwezi october 2025.

Akiongea kwa nukta, huku aieleza kwa takwimu na mifano halisi, Lissu amewafumbua macho watanzania kuwa PROCESS nzima ya Tanzania inayohusika na uchaguzi haiwezi kutoa uchaguzi huru na haki, na ushahidi wa hilo ni chaguzi nyingi zilizopita toka mwaka 1995.

Lissu akaeleza kuwa kwa sasa nchini HAIWEZEKANI kamwe kukawa na uchaguzi wo haki, maana CCM imeondokewa na haya kabisa.

Ndugu Lissu akainisha matatizo kuanzia.

1)Daftari la Mpiga kura ambalo utaratibu wa kuliupdate na kupata taarifa zake inakuwa ni tabu.

2)Magumashi kipindi cha ratiba za kampeni na uhuni mwingi kwa mfano kipindi cha kampeni vyombo vya habari vya umma huwa vinageuka Mouthpiece ya CCM. Havina fairness yoyote
3) Akazungumza magumashi kwenye kuwaengua wagombea wa upinzani.

4) Akazungumzia magumashi kwenye kuwaengua mawakala wa kusimamia uchaguzi wa vyama vya upinzani.

5) Akazungumzia magumashi kwenye kupiga kura ambapo maboxi ya kura kuchukukuliwa na mapolisi chini ya mtutu wa bunduki na ukisimama ktk njia yao wanakupiga risasi.

6)Akazungumza kuhusu kura feki ambazo CCM wanajiongezea, mfano mwaka 2020 kuna zaidi ya kura milioni 2, ziliongezeka kinyune na idadi ya watu wote nchini wakiojiandikisha kupiga kura.

7)Akazubgumza juu ya wateule wa NEC na wasumamizi wa uchaguzi ambao kimsingi ni watu wa rais ambaye ni mgombea pia.

Lissu akahoji wanaCHADEMA wenye kutaka kugombea, kuwa unawezaje kugombea ktk mazibgira kama haya wakati unajua unapeleka kichwa chako ili uchinjwe?.

Lissu akawataka viongozi wa dini na taasisi nyingine nchini ziiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha sasa ndiyo mwanzo na mwisho wa chaguzi feki nchini. Akasema hii ni nchi yao pia wana wajibu wa kuhakikisha haki inatamalaki nchini.

Kisha akasema kuwa NO REFORMS NO ELECTION ( Bila mabadiliko ya mdingi nchini, basi uchaguzi haufanyiki) ni UAMUZI wa kikao cha juu kabisa cha chama yaani mkutano mkuu cha tarehe 21/1/2025. Kwa hiyo siyo maamuzi yake binafsi yeye kama yeye.

MY TAKE:
Lissu sasa ametuonyesha njia njema, tumemuelewa na tunamuunga mkono. Kwa kweki kuingia kwenye chaguzi huku ukijua unaenda kushiriki uchafuzi ni ujinga, ni kupoteza muda, ni kupoteza hela, kodi za wananchi. Sisi tunaunga mkono wa kupata KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI.
Kaongea facts tupu
 
Leo mheshimiwa Lissu amelihutubia Taifa na kulieleza hatua kwa hatua juu ya uamuzi wa chama cha CHADEMA kuamua kua KAMA HAKUNA MABADILIKO YA MSINGI KWENYE KATIBA NA SHERIA zinahosu uchaguzi nchini basi CHAMA hicho HAKITAKUBALI Uchaguzi feki ufanyike nchini mwezi october 2025.

Akiongea kwa nukta, huku aieleza kwa takwimu na mifano halisi, Lissu amewafumbua macho watanzania kuwa PROCESS nzima ya Tanzania inayohusika na uchaguzi haiwezi kutoa uchaguzi huru na haki, na ushahidi wa hilo ni chaguzi nyingi zilizopita toka mwaka 1995.

Lissu akaeleza kuwa kwa sasa nchini HAIWEZEKANI kamwe kukawa na uchaguzi wo haki, maana CCM imeondokewa na haya kabisa.

Ndugu Lissu akainisha matatizo kuanzia.

1)Daftari la Mpiga kura ambalo utaratibu wa kuliupdate na kupata taarifa zake inakuwa ni tabu.

2)Magumashi kipindi cha ratiba za kampeni na uhuni mwingi kwa mfano kipindi cha kampeni vyombo vya habari vya umma huwa vinageuka Mouthpiece ya CCM. Havina fairness yoyote
3) Akazungumza magumashi kwenye kuwaengua wagombea wa upinzani.

4) Akazungumzia magumashi kwenye kuwaengua mawakala wa kusimamia uchaguzi wa vyama vya upinzani.

5) Akazungumzia magumashi kwenye kupiga kura ambapo maboxi ya kura kuchukukuliwa na mapolisi chini ya mtutu wa bunduki na ukisimama ktk njia yao wanakupiga risasi.

6)Akazungumza kuhusu kura feki ambazo CCM wanajiongezea, mfano mwaka 2020 kuna zaidi ya kura milioni 2, ziliongezeka kinyune na idadi ya watu wote nchini wakiojiandikisha kupiga kura.

7)Akazubgumza juu ya wateule wa NEC na wasumamizi wa uchaguzi ambao kimsingi ni watu wa rais ambaye ni mgombea pia.

Lissu akahoji wanaCHADEMA wenye kutaka kugombea, kuwa unawezaje kugombea ktk mazibgira kama haya wakati unajua unapeleka kichwa chako ili uchinjwe?.

Lissu akawataka viongozi wa dini na taasisi nyingine nchini ziiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha sasa ndiyo mwanzo na mwisho wa chaguzi feki nchini. Akasema hii ni nchi yao pia wana wajibu wa kuhakikisha haki inatamalaki nchini.

Kisha akasema kuwa NO REFORMS NO ELECTION ( Bila mabadiliko ya mdingi nchini, basi uchaguzi haufanyiki) ni UAMUZI wa kikao cha juu kabisa cha chama yaani mkutano mkuu cha tarehe 21/1/2025. Kwa hiyo siyo maamuzi yake binafsi yeye kama yeye.

MY TAKE:
Lissu sasa ametuonyesha njia njema, tumemuelewa na tunamuunga mkono. Kwa kweki kuingia kwenye chaguzi huku ukijua unaenda kushiriki uchafuzi ni ujinga, ni kupoteza muda, ni kupoteza hela, kodi za wananchi. Sisi tunaunga mkono wa kupata KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI.
ni upotoshaji tu,

lengo la hotuba ya huyo mpotoshaji kibaraka lilikua ni moja tu, kuomba pesa. Full stop. :BASED:
 
Kila taifa lina taratibu zake za kiuchaguzi duniani, kwa tanzania taratibu safi tulizojiwekea ndizo tunazozifuata!
 
Leo mheshimiwa Lissu amelihutubia Taifa na kulieleza hatua kwa hatua juu ya uamuzi wa chama cha CHADEMA kuamua kua KAMA HAKUNA MABADILIKO YA MSINGI KWENYE KATIBA NA SHERIA zinahosu uchaguzi nchini basi CHAMA hicho HAKITAKUBALI Uchaguzi feki ufanyike nchini mwezi october 2025.

Akiongea kwa nukta, huku aieleza kwa takwimu na mifano halisi, Lissu amewafumbua macho watanzania kuwa PROCESS nzima ya Tanzania inayohusika na uchaguzi haiwezi kutoa uchaguzi huru na haki, na ushahidi wa hilo ni chaguzi nyingi zilizopita toka mwaka 1995.

Lissu akaeleza kuwa kwa sasa nchini HAIWEZEKANI kamwe kukawa na uchaguzi wo haki, maana CCM imeondokewa na haya kabisa.

Ndugu Lissu akainisha matatizo kuanzia.

1)Daftari la Mpiga kura ambalo utaratibu wa kuliupdate na kupata taarifa zake inakuwa ni tabu.

2)Magumashi kipindi cha ratiba za kampeni na uhuni mwingi kwa mfano kipindi cha kampeni vyombo vya habari vya umma huwa vinageuka Mouthpiece ya CCM. Havina fairness yoyote
3) Akazungumza magumashi kwenye kuwaengua wagombea wa upinzani.

4) Akazungumzia magumashi kwenye kuwaengua mawakala wa kusimamia uchaguzi wa vyama vya upinzani.

5) Akazungumzia magumashi kwenye kupiga kura ambapo maboxi ya kura kuchukukuliwa na mapolisi chini ya mtutu wa bunduki na ukisimama ktk njia yao wanakupiga risasi.

6)Akazungumza kuhusu kura feki ambazo CCM wanajiongezea, mfano mwaka 2020 kuna zaidi ya kura milioni 2, ziliongezeka kinyune na idadi ya watu wote nchini wakiojiandikisha kupiga kura.

7)Akazubgumza juu ya wateule wa NEC na wasumamizi wa uchaguzi ambao kimsingi ni watu wa rais ambaye ni mgombea pia.

Lissu akahoji wanaCHADEMA wenye kutaka kugombea, kuwa unawezaje kugombea ktk mazibgira kama haya wakati unajua unapeleka kichwa chako ili uchinjwe?.

Lissu akawataka viongozi wa dini na taasisi nyingine nchini ziiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha sasa ndiyo mwanzo na mwisho wa chaguzi feki nchini. Akasema hii ni nchi yao pia wana wajibu wa kuhakikisha haki inatamalaki nchini.

Kisha akasema kuwa NO REFORMS NO ELECTION ( Bila mabadiliko ya mdingi nchini, basi uchaguzi haufanyiki) ni UAMUZI wa kikao cha juu kabisa cha chama yaani mkutano mkuu cha tarehe 21/1/2025. Kwa hiyo siyo maamuzi yake binafsi yeye kama yeye.

MY TAKE:
Lissu sasa ametuonyesha njia njema, tumemuelewa na tunamuunga mkono. Kwa kweki kuingia kwenye chaguzi huku ukijua unaenda kushiriki uchafuzi ni ujinga, ni kupoteza muda, ni kupoteza hela, kodi za wananchi. Sisi tunaunga mkono wa kupata KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI.
Asante kwa Samare
 
Kwa hiyo njia ya kuuzuia huo uchaguzi ameeleza ni ipi?
Maana uchaguzi upo na vyama vya upinzani vitashiriki.
Ukubwa wote huo,hujui upinzani ni CDM peke yake nchini??hata kama huna akili,basi uwe na adabu.alaaah
 
Tunaposema bila mabadiliko hakuna uchaguzi tuna maana gani?

Tuna maaana kwamba kusipokuwa na mabadiliko yanayohitajika ya mfumo wa uchaguzi, tutafanya kila tunaloweza, kwa nguvu tulizonazo kuhakikisha kwamba uchaguzi mkuu haufanyiki mwaka huu, hatuzungumzii kususia uchaguzi, hatutasusia, tutaenda kuwaambia Watanzania, na tutaiambia jumuiya ya kimataifa, na tutawaambia walimwengu kwamba kama CCM na serikali yake haipo tayari kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi huru na za haki, uchaguzi wa mwaka huu usifanyike kabisa, ndiyo maana ya 'No Reform No Election' bila mabadiliko hakuna uchaguzi.

Soma Pia:
Ninataka niwe wazi hapa, huu siyo uamuzi wa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Tundu Lissu, huu ni msimamo wa CHADEMA kama ulivyowekwa na vikao vyake vya juu vya kikatiba: Kamati Kuu, Baraza Kuu, Mkutano Mkuu wa Taifa" - Lissu.

 
Chadema hawana nguvu ya kuzuia uchaguzi usifanyike kwasababu kuna mamluki ya vyama vya upinzani labda utakosa tu credibility
 
Back
Top Bottom