Pre GE2025 Tundu Lissu afafanua No Reform No Election, hatuzungumzii kususia uchaguzi na hatutasusia bali Uchaguzi hautofanyika!

Pre GE2025 Tundu Lissu afafanua No Reform No Election, hatuzungumzii kususia uchaguzi na hatutasusia bali Uchaguzi hautofanyika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijamuona wa kujibu hoja za Chadema kwa sababu kufanya hivyo ndio litakua anguko la ccm. Wote wanaoropoka majukwaani ni mikwala tu. Nikisema wote namaanisha wote hajatokea mtu wa kujibu asije akatumbuliwa
 
Back
Top Bottom