Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Nimemuona nanga uyiioBaba Kantuma mziki wenu huu
View attachment 3078740
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona nanga uyiioBaba Kantuma mziki wenu huu
View attachment 3078740
KJ 824 Msangani
Sio meja genellyUsikute kalaga baho ni kanali na hatujui 😂
Makuyuni Jkt😁😁🔥Me ndo maana nawaheshim sana nyie mliovaa maana nikisikia scale yenu ilivyo nikilinganisha na sisi tuliopita jkt mujib wa sheria nasema jeshi kugangamala, kuna copro mmoja hiv anaitwa Sese yule jamaa ni noma sana pia private anaitwa Aloyce aka Super Feo wale watu i salute them..
😂😂Kashindwa hata kumalizia kuinua mguuBaba Kantuma mziki wenu huu
View attachment 3078740
Ongeza na wanaosafishwa mtalo pia..Mwanangu bawasiri ni ugonjwa ambao nyama uota kwenye Sehemu za haja kubwa.
Sababu za bawasiri ni pamoja na Kufanya kazi ngumu,constipation nk.
Tena ni sangasanga 92KjNgerengere ni 92 mkuu wangu🤣🤣🤣
Mkuu Rts wanaanza kwenda Lin?𝙰𝙻𝙴𝚁𝚃 🚨🚨🚨🚨
𝙺𝙴𝚂𝙷𝙾 𝚈𝙰𝚃𝙰𝚂𝙾𝙼𝚆𝙰 𝙼𝙰𝙹𝙸𝙽𝙰 𝚈𝙰 𝚅𝙸𝙹𝙰𝙽𝙰 𝚆𝙰 𝙹𝙴𝚂𝙷𝙸 𝙻𝙰 𝙺𝚄𝙹𝙴𝙽𝙶𝙰 𝚃𝙰𝙸𝙵𝙰(𝙹𝙺𝚃),𝙺𝚆𝙴𝙽𝙳𝙰 𝙺𝚄𝙴𝙽𝙳𝙴𝙻𝙴𝙰 𝙽𝙰 𝚄𝚂𝙰𝙸𝙻𝙸 𝚄𝚃𝙰𝙺𝙰𝙾 𝙵𝙰𝙽𝚈𝙸𝙺𝙰 𝚁𝙴𝙲𝚁𝚄𝙸𝚃 𝚃𝚁𝙰𝙸𝙽𝙸𝙽𝙶 𝚂𝙲𝙷𝙾𝙾𝙻 (𝚁𝚃𝚂)𝙺𝙸𝙷𝙰𝙽𝙶𝙰𝙸𝙺𝙾.𝚒𝚝𝚊𝚊𝚗𝚣𝚊 𝟾𝟹𝟺𝚔𝚓,𝟾𝟸𝟷𝚔𝚓 𝚗𝚊 𝙺𝚄𝙴𝙽𝙳𝙴𝙻𝙴𝙰......
𝙽𝙾𝚃𝙴;𝙺𝚞𝚌𝚑𝚊𝚐𝚞𝚕𝚒𝚠𝚊 𝚗𝚒 𝚖𝚒𝚙𝚊𝚗𝚐𝚘 𝚢𝚊 𝚖𝚞𝚗𝚐𝚞,𝚞𝚔𝚒𝚔𝚘𝚜𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚎𝚗𝚍𝚎𝚕𝚎𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚞𝚋𝚒𝚛𝚒 𝚖𝚊𝚖𝚋𝚘 𝚢𝚊𝚝𝚊𝚓𝚒𝚙𝚊 𝚝𝚢𝚞......🇹🇿🇹🇿🇹🇿
AiseeeeMsange teyar washasoma kaz imeisha kwa kikos cha msange
Uko wamechaguliwa watu wangapiMsange teyar washasoma kaz imeisha kwa kikos cha msange
Majibu wakuu 📌📌Uko wamechaguliwa watu wangapi
Naskia watu 32 tu 😬Msange teyar washasoma kaz imeisha kwa kikos cha msange
Mi upande wangu nmeskia watu 32Uko wamechaguliwa watu wangapi
Mhhh jumla kuu walikuwa wangapi.Naskia watu 32 tu 😬
Alaf form 4 ndo wengi la 7 yupo mmojaMi upande wangu nmeskia watu 32
Jumla ya ninMhhh jumla kuu walikuwa wangapi.
Ni huzuni kwakweliAlaf form 4 ndo wengi la 7 yupo mmoja
Idadi ya hao service wa apo msangeJumla ya nn
Sjafatilia mkuu wanguIdadi ya hao service wa apo msange