πππWapi naweza pata bange originally wakuu hii y mwaka huu kalii... nishawanga na kuwanga, jana nimeamkia kwa mwamposa leo kwa suguye. Dua bado nene wazee kichwa kinapata moto π₯
Watu kila siku tunaambiwa tunywe maji ya kutosha lakini tupo bize na lonja.πππππI believe
Si kila mtu hapa yupo kupata lonja. Unajua shida iliyopo ni imani ya kwamba kila alie na vigezo ataitwa. Kuna watu wanaamin kwamba nina vigezo nitaitwa. Hii si nzur although, kuwa na vigezo complete sio sabab
Ikija suala la nafas na uchache wake ni real, kama mungu ni wa kila mtu watakaopata ni wa mungu kama wale waliokosa. Imani juu ya matarajio pia inabidi owe flexible, si kila aliyekosa nafas kama hiz alifeli vitu vingine alivyofanya. Kuna watu katika tutakaosa hiz, watafanikiwa katika njia nyingine ya maisha zaidi ya tutakaopata. Maisha yanaenda mbele kinyumenyume
Who knows tomorrow?
Njoo kwenye maombi uku kivule...sms utaona.Wapi naweza pata bange originally wakuu hii y mwaka huu kalii... nishawanga na kuwanga, jana nimeamkia kwa mwamposa leo kwa suguye. Dua bado nene wazee kichwa kinapata moto π₯
Nikutumie mkuuππππWapi naweza pata bange originally wakuu hii y mwaka huu kalii... nishawanga na kuwanga, jana nimeamkia kwa mwamposa leo kwa suguye. Dua bado nene wazee kichwa kinapata moto π₯
Suguye? Nilikuwwpo jana tu mkuu ila kesho kutwa pia nitakuja walahiNjoo kwenye maombi uku kivule...sms utaona.
Nitumie tu mkuu nipige na kitu cha dona pilipili nyingi.Nikutumie mkuuππππ
Hahah mi Mdogo wang tayar sms imeingia na doso nitampa mim mwenyew ole wale mtakao kuwa kihelehele kwa mabinti wazuri dunia itawahusuNakuelewa mkuu ila watu wanaweza kulibeba hili leo wakashindwa hata kushuglika na wake zao mitaani kwa stress. Tutashindwa kuzaana! Hiv unajua ujumbe kama huu ukifika hapa ni kina Padone EPM wangapi leo watalala na njaa?
Na jina ulilojipa linaheshimika sana humu. KJ ni mamlaka hayo ππ
Hahah mi Mdogo wang tayar sms imeingia na doso nitampa mim mwenyew ole wale mtakao kuwa kihelehele kwa mabinti wazuri dunia itawahusu
Kwahyo kesho vijana wanaanza kuripot hapo shuleniHahah mi Mdogo wang tayar sms imeingia na doso nitampa mim mwenyew ole wale mtakao kuwa kihelehele kwa mabinti wazuri dunia itawahusu
Now Yupo chalinze anasubiria Maandalizi kesho naenda kumnunulia MahitajiKwahyo kesho vijana wanaanza kuripot hapo shuleni
Waambie na hawa vijana wa hapa mahitaji gani wawe nayo ili waanze kujiandaa mapema.Now Yupo chalinze anasubiria Maandalizi kesho naenda kumnunulia Mahitaji
Ameambiwa aripoti lini kwemye sms yake? Let's validate itNow Yupo chalinze anasubiria Maandalizi kesho naenda kumnunulia Mahitaji
Daah mwaka juzi nilipata bahati kufikia hadi kuambiwa niandae nini na nini nikareport Oljolo Dk za mwisho ikapigwa aziwea sina hamu. Sema tu sikuleta papara kununua vitu la sivyo kingenilamba ila nilichukua boxer nyingi sana kama walivyosema kwa wakati ule..Waambie na hawa vijana wa hapa mahitaji gani wawe nayo ili waanze kujiandaa mapema.
Daah mwaka juzi nilipata bahati kufikia hadi kuambiwa niandae nini na nini nikareport Oljolo Dk za mwisho ikapigwa aziwea sina hamu. Sema tu sikuleta papara kununua vitu la sivyo kingenilamba ila nilichukua boxer nyingi sana kama walivyosema kwa wakati ule..
Kila la kheri kwa mtapata sms mkapite kwenye sahili zenu.
Ilipaswa nireport hadi majina nilionyeshwa yaliyorudi ila ndo ivyo kozi ilipigwa aziwea sijui ilikuwaje uko.Ilikuaje mkuu haukuripoti kwa nn au uliipoti ukatokea unfit? Lete maneno hayo..
So kuna watu walipewa nafas yako ama? Ongea mkuu shea. Mm niwatoe hofu sio mbanga wala sijaomba hili bogi na jkt sikuwah kwenda. Hapa niko kupiga stor na wana tu..Ilipaswa nireport hadi majina nilionyeshwa yaliyorudi ila ndo ivyo kozi ilipigwa aziwea sijui ilikuwaje uko.
Sio kuna watu walipewa nafasi bali ni kozi haikufanyika kakaSo kuna watu walipewa nafas yako ama? Ongea mkuu shea. Mm niwatoe hofu sio mbanga wala sijaomba hili bogi na jkt sikuwah kwenda. Hapa niko kupiga stor na wana tu..
Sbab ziliwekwa wazi au? Naomba nijue iliegeshwa kambi gani kama hutojaliSio kuna watu walipewa nafasi bali ni kozi haikufanyika kaka