Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Ilikuwa kozi ifanyike RTS Oljoro huo mwaka, sababu sikujua ni zipi ila ndo ilivyokuwa.Sbab ziliwekwa wazi au? Naomba nijue iliegeshwa kambi gani kama hutojali
Huu ni uzembe au kuna ishu iliwafyeka watu?. Anyway! Life goes on..Ilikuwa kozi ifanyike RTS Oljoro huo mwaka, sababu sikujua ni zipi ila ndo ilivyokuwa.
Pole San kakaIlikuwa kozi ifanyike RTS Oljoro huo mwaka, sababu sikujua ni zipi ila ndo ilivyokuwa.
Life goes on ndo maana nimejaribu tena sahivi na nipo attention kwa jibu lolote.Huu ni uzembe au kuna ishu iliwafyeka watu?. Anyway! Life goes on..
Bora wewe ushapimwa kila kitu ukawa huna wanatafuta namna wakupunguze mwana aliangua kilio baada ya kuambiwa ana dalili ya Hepatitis kumbe figisu tuIlikuwa kozi ifanyike RTS Oljoro huo mwaka, sababu sikujua ni zipi ila ndo ilivyokuwa.
Mwaka juzi oljoro kozi ilipigwa mbn mkuu wangu au unamaanisha mwakajanaDaah mwaka juzi nilipata bahati kufikia hadi kuambiwa niandae nini na nini nikareport Oljolo Dk za mwisho ikapigwa aziwea sina hamu. Sema tu sikuleta papara kununua vitu la sivyo kingenilamba ila nilichukua boxer nyingi sana kama walivyosema kwa wakati ule..
Kila la kheri kwa mtapata sms mkapite kwenye sahili zenu.
Ndo life kaka ni mapambano tu muhimu kutokukata tamaa.Pole San kaka
Jikaze, pray! Wiki hii ni wiki ya mauaji. Kufika tarhe 2 mwez wa tisa walengwa wote watakuwa wamefikiwa. Ingawa kuna njia nyembamba sana mana watu ni wengi... So punguza expectation ongeza mipangoLife goes on ndo maana nimejaribu tena sahivi na nipo attention kwa jibu lolote.
Unazungumzia ile ambayo ilifungwa Kihangaiko mwezi wa 6 sijui 4 then wakafata Oljoro tarehe 30/10 au ipi?Mwaka juzi oljoro kozi ilipigwa mbn mkuu wangu au unamaanisha mwakajana
Kaka me nmeweka 40/60 ikibuma uko nafocus kwenye harakati zanguJikaze, pray! Wiki hii ni wiki ya mauaji. Kufika tarhe 2 mwez wa tisa walengwa wote watakuwa wamefikiwa. Ingawa kuna njia nyembamba sana mana watu ni wengi... So punguza expectation ongeza mipango
Hapana mkuu hyo ya oljoro iliisha September ya kihangaiko ndo iliisha juneUnazungumzia ile ambayo ilifungwa Kihangaiko mwezi wa 6 sijui 4 then wakafata Oljoro tarehe 30/10 au ipi?
Intake ya ngapi?Hapana mkuu hyo ya oljoro iliisha September ya kihangaiko ndo iliisha june
π Ilo mbona lipo wazi kakaKuzama chomboni sio poa yani mpaka dakika hii kuna masela hawajatuma maombi wala nini ila watatimba na kuuma mzigo kama kawa
Kaka amini usiamini kuna watu vyeti wamepeleka juzi kwa mbangaKuzama chomboni sio poa yani mpaka dakika hii kuna masela hawajatuma maombi wala nini ila watatimba na kuuma mzigo kama kawa
INTAKE YA 41/22 mkuu wangu au ulkua huna hyo habarIntake ya ngapi?
Tena mgeni rasmi alkua CDFINTAKE YA 41/22 mkuu wangu au ulkua huna hyo habar
Labda nimechanganya mwakaINTAKE YA 41/22 mkuu wangu au ulkua huna hyo habar