Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ilikuwa kozi ifanyike RTS Oljoro huo mwaka, sababu sikujua ni zipi ila ndo ilivyokuwa.
Bora wewe ushapimwa kila kitu ukawa huna wanatafuta namna wakupunguze mwana aliangua kilio baada ya kuambiwa ana dalili ya Hepatitis kumbe figisu tu
 
Mwaka juzi oljoro kozi ilipigwa mbn mkuu wangu au unamaanisha mwakajana
 
Kuzama chomboni sio poa yani mpaka dakika hii kuna masela hawajatuma maombi wala nini ila watatimba na kuuma mzigo kama kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…