Afya ndio muhimu unaweza pimwa tatizo lisionekane ila baada ya kozi kuanza litaonekana tu😂😂😂Mamaee RTS bila maelekezo maalumu sio poa.
Wasipokudaka kwenye ukaguzi wa vyeti basi watakukamata kwenye afya n.k
Kwa hiyo tukisema mbanga huwa tunazungumzia cheo gani, kile kidogo kabisa?Kubabake sina huyo ukiwa unafahamiana nae usisubir jina nenda msata wambie wakupe kombati yako kabisa
Kweli huko kuna nongwaAfya ndio muhimu unaweza pimwa tatizo lisionekane ila baada ya kozi kuanza litaonekana tu😂
Mi winga mda mwingi online naongea na wateja 😂😂Bwayser hujambo? Tafuta kazi ya kufanya muda wq sala kasali mana ya humu yatakutoa roho kijana
Kama winga tuwasiliane mkuu kuna mzigo wa bos wangu nitajhitaj push na saponins zenu, kuanzia next week utakuwa bongoMi winga mda mwingi online naongea na wateja 😂😂
Mbanga sio lazima awe brigedia au meja au kanali anaweza kua ata koplo ila uyo koplo unakuta mshikaji wake ni mkuu wa majeshi au meja jenerali flani sasa apo kuna nini kaka msata kwanini usiende kwaio hata aw wadogo usiwazalau afu ipo ivi unaweza ukawa na cheo kikubwa mfano kanali ila hujui kuchekecha yani kumchomeka mtu unakuta unafanyia kazi nachingwea afu koplo yupo makao pale ana link na wakubwa ote kwaio ata awa ma koplo ata private usimdharauKwa hiyo tukisema mbanga huwa tunazungumzia cheo gani, kile kidogo kabisa?
Samsara mkuu, mwenye dini na asali kwa dini yake. Narudi tuendelee na mjadala mkuu sahiv naingia masjid kidogo.. hii hali sio y kawaidaMbanga sio lazima awe brigedia au meja au kanali anaweza kua ata koplo ila uyo koplo unakuta mshikaji wake ni mkuu wa majeshi au meja jenerali flani sasa apo kuna nini kaka msata kwanini usiende kwaio hata aw wadogo usiwazalau afu ipo ivi unaweza ukawa na cheo kikubwa mfano kanali ila hujui kuchekecha yani kumchomeka mtu unakuta unafanyia kazi nachingwea afu koplo yupo makao pale ana link na wakubwa ote kwaio ata awa ma koplo ata private usimdharau
😁Sa
Samsara mkuu, mwenye dini na asali kwa dini yake. Narudi tuendelee na mjadala mkuu sahiv naingia masjid kidogo.. hii hali sio y kawaida
Kwahyo kama mbanga wako anafanya kazi kwenye ofisi ya CP kuvaa kitenge uhakika?😎Makao makuu ya jeshi kutoka ofisi ya mkuu wa tawi la utumishi jeshini meja jenerali marco gaguti nikupe namba ake mkuu😂😂
80%Kwahyo kama mbanga wako anafanya kazi kwenye ofisi ya CP kuvaa kitenge uhakika?😎
Majina yanatoka ofisini kwao utapikaje bila kuonjaKwahyo kama mbanga wako anafanya kazi kwenye ofisi ya CP kuvaa kitenge uhakika?😎
Kwishaaa😎Majina yanatoka ofisini kwao utapikaje bila kuonja
Kwani meseji zishatumwa wakuu?Kwishaaa😎
Rts imeshaaza kufurikaSema nixhakata matumaini maana walioko vikosin naona kama wki ijayo wanaingia rts
Acha utaniRts imeshaaza kufurika
😬😬😬Rts imeshaaza kufurika
Maeneo ya mgulani apaBaba kantuma Kalaga Baho Nongwa uko wapi ndo tunakuja mtaani kwenu kukuchukuaView attachment 3080559
Uyu akisema kitu ujue ni ukwelii. ,,, hajawai toa taarifa ya uongoRts imeshaaza kufurika