Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kwa hiyo tukisema mbanga huwa tunazungumzia cheo gani, kile kidogo kabisa?
Mbanga sio lazima awe brigedia au meja au kanali anaweza kua ata koplo ila uyo koplo unakuta mshikaji wake ni mkuu wa majeshi au meja jenerali flani sasa apo kuna nini kaka msata kwanini usiende kwaio hata aw wadogo usiwazalau afu ipo ivi unaweza ukawa na cheo kikubwa mfano kanali ila hujui kuchekecha yani kumchomeka mtu unakuta unafanyia kazi nachingwea afu koplo yupo makao pale ana link na wakubwa ote kwaio ata awa ma koplo ata private usimdharau
 
Sa
Samsara mkuu, mwenye dini na asali kwa dini yake. Narudi tuendelee na mjadala mkuu sahiv naingia masjid kidogo.. hii hali sio y kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…