Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Ukweli wapi au Mnadhani sisi wengine hatupo Kiangaiko😁Uyu akisema kitu ujue ni ukwelii. ,,, hajawai toa taarifa ya uongo
Apo ni Moro mkuu 😂 msamvu
We sikupingi usije ukaninyima dada Bure bwana shemej 😂Ukweli wapi au Mnadhani sisi wengine hatupo Kiangaiko😁
EEeeh umepatia kabisa ni Msamvu Moro HiyoApo ni Moro mkuu 😂 msamvu
Hili mbona kama la Mapolisi?
😃😃mapolis gan na wew ndugu au unataka nikuoneshe Plate no. Sema utanijua jina na cheo changuHili mbona kama la Mapolisi?
Punda kasingiziwa kumbe mwanafunzi TIABaba kantuma Kalaga Baho Nongwa uko wapi ndo tunakuja mtaani kwenu kukuchukuaView attachment 3080559
Mtanikuta mbagala hapa mnapochangisha watu damu na mbanga wangu tunajadiliBaba kantuma Kalaga Baho Nongwa uko wapi ndo tunakuja mtaani kwenu kukuchukuaView attachment 3080559
Naweza kuunga mkono kwaiyo maswala ya limit za miaka na kuhusu wa uraiani ni wale waliopitia JkT au Ata ambao hawajapitia Jkt ufafanuzi kidogoAlafu kwa wale ambao walikuwa wakifatilia hii trend tokea mwaka jana watakumbuka ya kwamba nilisema kitu ambacho adi asaivi sina cha kuongeza wala kupunguza( "Amini kwamba watu wameshakaa chini wakabuni mazingira yao ya kuupiga mwingi kwenye chaguzi zijazo tena mm ninaona. Kabisaa watu watakaoitwa kwenye iyo ajira watakuwa ni wengi saana tu kutoka uraiani tena bila kupiganisha Wala nn so apo kinachoitajika ni stamala tu na kunywa Maji mengi ili kusudi moyo uelee vijana mpo hapo!!!")
Endelea kudanganya wenzakoAlafu kwa wale ambao walikuwa wakifatilia hii trend tokea mwaka jana watakumbuka ya kwamba nilisema kitu ambacho adi asaivi sina cha kuongeza wala kupunguza( "Amini kwamba watu wameshakaa chini wakabuni mazingira yao ya kuupiga mwingi kwenye chaguzi zijazo tena mm ninaona. Kabisaa watu watakaoitwa kwenye iyo ajira watakuwa ni wengi saana tu kutoka uraiani tena bila kupiganisha Wala nn so apo kinachoitajika ni stamala tu na kunywa Maji mengi ili kusudi moyo uelee vijana mpo hapo!!!")
Nitake radhi bwana, mi niko huku Kolomije ndanindaniPunda kasingiziwa kumbe mwanafunzi TIA
Soma sana kijana uhasibu sio mchezo! Uje tukutaftie ajira huku.Nitake radhi bwana, mi niko huku Kolomije ndanindani
Za ndani kabisa zinasemaje hapo rts mkuu?Nitake radhi bwana, mi niko huku Kolomije ndanindani
Soma sana kijana uhasibu sio mchezo! Uje tukutaftie ajira huku.
Kaka mi sipo RTS nipo Kolomije,ila nataka nije Daslam nasikia kuna kazi inaitwa "Winga" nataka na mimi nifanye hiyoZa ndani kabisa zinasemaje hapo rts mkuu?
Hii hauiwez mkuu, kama unaweza uniuzie pochi zangu huko ulipo. Duka naligungua mbezi Beach pale next month kama utaweza nitakupa ganji nzur mkuuKaka mi sipo RTS nipo Kolomije,ila nataka nije Daslam nasikia kuna kazi inaitwa "Winga" nataka na mimi nifanye hiyo