Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
😂😂 Sio hivo mkuu tulkua tuna jarb kumuelewesha huyo mjomba hapo juuMnawatia moto na pressure watu wanaotegemea Mungu ndo awaonekanie, mtu akicheki hana mbuyu alafu nanyie mnasema mara cpl rts hehehe
Mwenye updates za leo uwanja upo wazi
Mm LIMUBUYU JIMBANGA LANGU limeniambia niache mapepe.... simu moko tu! NitPigiwa simu haya ya pdf hayapo kabisa. N mbanga zimekataa mfumo huo man watanzania watapiga kelele wakiona jina Mkunda limetokea kwa vijana sitaNisichokijua kipi Ndugu yangu Unaleta habari za vyombo vingine vya ulinzi kwamba ukituma maombi lazima itoke list ya majina nani kakudanganya huku Tpdf ni kwngne kabisa sio lazima itoke PDF ya majina usiwadanganye watu ngoma inaitwa kwa simu na sms tu
Hahaha so Kwanzia kanali kuna dogo anamifumo na ni Private yupo zake mission uko MT. Ndug yake kutoka mafinga ana gamba la standard seven kasomwa jina vizuri kabisa ni Mifumo tu. Ata mtu ambae sio mwanajesh anaweza kuwa na mfumo ikiwa anaongea vzr na wakuuNawakumbusha tu kwa hizi kozi za ajira Mbanga wa uhakika ni kuanzia KANALI
Limubuyu lako umeishalipa details au,,, maana kuna wajuba huku wanasema wanasubili kwenda hapo Kati na hawajatuma maombi wala mpaka dk hii bado doc zao mbanga ajachukua😀😀Mm LIMUBUYU JIMBANGA LANGU limeniambia niache mapepe.... simu moko tu! NitPigiwa simu haya ya pdf hayapo kabisa. N mbanga zimekataa mfumo huo man watanzania watapiga kelele wakiona jina Mkunda limetokea kwa vijana sita
SAhihi mkuu ila hawaofii hilo bali tu ni sababu za kiusalama zaidi hatuwezi weka wazi majina ya soldier labd mapongo uko ndo majina yao yanakuwa kwenye list 🤣🤣Mm LIMUBUYU JIMBANGA LANGU limeniambia niache mapepe.... simu moko tu! NitPigiwa simu haya ya pdf hayapo kabisa. N mbanga zimekataa mfumo huo man watanzania watapiga kelele wakiona jina Mkunda limetokea kwa vijana sita
Yaaan ukiwa na mtu wa uhakika mpaka sasa akiwa bado hajachukua jina wala usitetereke ngoma zinachezwa Rtiesin pale paleLimubuyu lako umeishalipa details au,,, maana kuna wajuba huku wanasema wanasubili kwenda hapo Kati na hawajatuma maombi wala mpaka dk hii bado doc zao mbanga ajachukua😀😀
Kaka mkubwa Umepoah huna bayaaa👊🏽😀Yaaan ukiwa na mtu wa uhakika mpaka sasa akiwa bado hajachukua jina wala usitetereke ngoma zinachezwa Rtiesin pale pale
Mkuu mm nimemtumia lumubuyu lijimbanga vyeti ijumaa iliyopita yani juzi tuLimubuyu lako umeishalipa details au,,, maana kuna wajuba huku wanasema wanasubili kwenda hapo Kati na hawajatuma maombi wala mpaka dk hii bado doc zao mbanga ajachukua😀😀
Nakubalina na wewe mkuu hadi natokwa na machoz huku mbagala... kuna mtu aliwah kupigiwa simu ndo akapekeka vyeti siku hiyohiyo n kesho akaenda kozi, hata uzalendo hakukaaYaaan ukiwa na mtu wa uhakika mpaka sasa akiwa bado hajachukua jina wala usitetereke ngoma zinachezwa Rtiesin pale pale
Mkuu mm nimemtumia lumubuyu lijimbanga vyeti ijumaa iliyopita yani juzi tu
Na inasemekan mpka leo hajavipeleka
Nimejishushia mabalaa mkuu sio poa. Huwezi amini yan n ufupi huu nimeendesha tairi pa trekta kutoka mwenge mpaka kawe wiki hii yote ndo nipo humoMwanangu bado unaendelea kula tizi huko nini😂 andunje ma six packs na vigimbi😀
Joke Fam👊🏽
Mie na mwachiiii, tukoo winjaa winjaaa, kuna vidudu mtu ndo kirusii kwetuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Si watamuonea huko jeshini mwachi wetu jamani!!
Sema mnapendana had raha wenyewe na mwachi wako
Wallah Mwachiiii, nakuvuaa had [emoji152].Dah nimecheka sana ety utanivua balleti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtanifanya nisifanye kazi yangu kwa hivi vimbwanga vyenu hapa
Ngere ngeree akafee? Kuna macomando kulee.Pole sana ungeenda ngerengere ndio kunakufaa kule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi Mwachiii uko msata kweli wee? Yaan hata Ngere ngere hupajui.Ndio wapi oljoro?
Kwendaaa hukooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mama niongee mara ngapi? Mm niko kihangaiko muda huu hapa na mbanga zao. Mm mwemyew mbanga! Yan kabla ya kozi hapa rts naheshimiwa kinyax
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja niendelee kuwachora tu