Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Mkuu jau wewe ebu tuma ya mwisho tulipitiwa🤣Nimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika
Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online
Mkuu tuma tena hatujaona.Nimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika
Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online
Mbona Niko hapa muda wote sijaona kituNimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika
Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online
Sio kweli hujatuma kituNimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika
Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online
Cha mtema Kuniii??? Kipi hikoKwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia
Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi
Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Sawa bhn unajikuta Millard ayo wakati we mange kimambi tuKwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia
Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi
Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Acha ushamba mkuu huo ni ushamba kama unataka kusaidia watu weka maneno hapo sio kujifanya special kwamba unataka upate attention ya watuKwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia
Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi
Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
🤣🤣🤣🤣Sawa bhn unajikuta Millard ayo wakati we mange kimambi tu
Shame on you🚮
Kuna watu watapigwa ela apa 😂😂Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia
Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi
Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
😂😂Acha ushamba mkuu huo ni ushamba kama unataka kusaidia watu weka maneno hapo sio kujifanya special kwamba unataka upate attention ya watu
Yaaan usipokuwa makini unapigwa vizuri sanaKuna watu watapigwa ela apa 😂😂
Watu mia ngapVijana wa uraiani mtapiga depo oljoro pamoja na wa bms na wale wanaochukuliwa sababu ya michezo wakina kichuya mtakuwa nao
Saa moja ndo hii tupe updates au tusubiri saa 2Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia
Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi
Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Lete kazi mkuu
Mkuu tunasubiria