Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Habarini za mchana wakuu,Watu waliopigiwa simu hawa wa mtaani kwenda kuripoti makutupora wameambiwa kuripoti mwisho ni kesho.Wakifika wananakula wembe kichwani.Bogi linaatakiwa kuondoka kwenda msata mwez wa kumi mwanzoni.
Waliowahi kuwa makambini? Au wote wa mtaani? Haijalishi kama walishawai kuwa kambinu au lah? Simu zingine hazitaita?
 
Asiwadanganye mtu hamna hamna aliepigiwa simu hadi sasa wala alotakiwa kuripoti Makutopora. Mimi ni raia tu wakawaida nipo hq kitengo cha IT nimejitolea nimetok direct chuo. Hata hapa makao hamna mtu mwenye taarifa hio lini watawapigia simu au itaratibu utakuaje..au angalieni hata nyie au mtu aseme kama mbanga wake kampa utaratibu wwte utakavyokuwa
 
[emoji2][emoji2]kumeanza kuchangamka
 
Muda bado upo wa kupiga simu .. matapeli wanawadanganya vijana kwa simu pia
 
Naunga mkono hoja🫡👏
 
🤔🤔 Una uhakika makutupora Amna walioripoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…