Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kwa anae jua iv wamtaaan wataaanza kuitwa lin mana tushakaa na cm karbu mpka tumechoka
 
Ule doso usile doso ni hautakiwi kuwa pale na je kama wewe ni mamluki maana unakua utambuliki pale
Siwezi nikawa mamluki naakati nimesha tuma maomb ya jeshi hii ni mara ya tatu ko hata wakikagua taarifa zangu chet cha kuzaliwa ninacho mm ni mtanzania halali tena sio chet cha kutafuta ukubwani aa toka Nizaliwe ko si wez ni Kawa mamluki kihvyo yaan
 
Habarini za mchana wakuu,Watu waliopigiwa simu hawa wa mtaani kwenda kuripoti makutupora wameambiwa kuripoti mwisho ni kesho.Wakifika wananakula wembe kichwani.Bogi linaatakiwa kuondoka kwenda msata mwez wa kumi mwanzoni.
Hizi habari umezitoa wapi mkuu
 
Hizi habari umezitoa wapi mkuu
Kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika,Ameniambia watu wa mtaani walianza kupigiwa simu juzi wakipewa maelekezo waende kuripoti makutupora,Mwisho wa kuripoti ni kesho na wameambiwa wabebe vitu vya muhimu vyote maana hakuna kurudi wakitoka hapo mwez wa kumi mwanzoni wanaelekea msata.
 
Kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika,Ameniambia watu wa mtaani walianza kupigiwa simu juzi wakipewa maelekezo waende kuripoti makutupora,Mwisho wa kuripoti ni kesho na wameambiwa wabebe vitu vya muhimu vyote maana hakuna kurudi wakitoka hapo mwez wa kumi mwanzoni wanaelekea msata.
Ko wameitwa wengi au
 
Watu washaapa muda mrefu nyie humu bado mnadanganyana.

Madogo sasa hivi wapo kalikizo kafupi
 
Mimi mbanga yangu wakati napata nafasi haikuitaji hela yoyote .... Lakin Toka ntoke kozi nimemweka kwenye payroll yangu kila mwezi anakunja 100k .
Screenshot_20240915-211932.jpeg
 
Back
Top Bottom