Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
wengine hawataki utajir wanapambania ndotoHakuna tajiri aliyeajiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengine hawataki utajir wanapambania ndotoHakuna tajiri aliyeajiriwa
Ah sema huko sipaelewi machimbo pangeluwa oljoro flesh ninge timpa nikazamiaKwan nilienda kule MSATA Nikakaa kule alafu nikazamia kule kambini vp hapo
For me niliambiwa 4moths salary niitoe kwa mbuyu afta kutoboa kozi lkn wakat huo huo mbuy akttak nimtumie kitu flan lets say chet fulqn labda kinahtjika hua namsindkzia hta na 50k tena Kuna mda nakaaa namuingzia 30 namwambia "kiongozi eeh ya mafuta hiyo bhana"'tyu' ndio nini?! JW wana haki ya kukutimua kabisa.
Kwahyo saaa
Kwahyo Sasa wale wa mtaan ndo tusahau au
Ee wamtaani bado tuwe na subira wataitwa tu wa mtaaniWa mtaani mtaitwa tu vuta subira
Wale walitwa ni wale walikuwa makambini na wao lazima uwe na mtu na wanaendelea kuripoti msataHao ambao wafanyiwa usahili makutopora si tunasikia lonja kuwa simu zinaita tunaambiwa utue makutopora
Sitoi ela kabla mtu hajafika msata😂😂😂😂
Ndio msata Kuna watu wanaendelea kuripoti lakini wale wanatokea makambini wenye mimbanga sijui ndio mnasema hivyoWatu wameshaitwa msata??
Sasa na hao ambao wapo makutopora tuna ambiwa ni WA mtaan wapo wanafanyiwa usahiliNdio msata Kuna watu wanaendelea kuripoti lakini wale wanatokea makambini wenye mimbanga sijui ndio mnasema hivyo
wengine hawataki utajir wanapambania ndoto
Msata anaweza akafika mzee. Weka mpaka aanze Kozi! Mana hapo msata anaweza akafika na akarudishwa kwao baada ya wiki mojaSitoi ela kabla mtu hajafika msata😂😂😂😂
Ukitafta mbanga hakikisha anakupigania mpaka usahili utoboe tofauti na hapo utaumia tu...kuenda msata unaenda tu ila usahili ndo ktu ambachoMsata anaweza akafika mzee. Weka mpaka aanze Kozi! Mana hapo msata anaweza akafika na akarudishwa kwao baada ya wiki moja
Nchi hii ina kazi nyingi mzee sio jwtz tu.Sasa na hao ambao wapo makutopora tuna ambiwa ni WA mtaan wapo wanafanyiwa usahili
Kuitwa makutopora sio usahili wa jwtz tu na hao unaweza usijue wameekekea wapiSasa na hao ambao wapo makutopora tuna ambiwa ni WA mtaan wapo wanafanyiwa usahili
Vijana hasa wa fom for tafuteni na vyeti vya la Saba pili namba za nida za wazazi kati ya mmoja Mambo ninayoyaona huku vijana mtamwagwa sana kwenye usahili
Mkuu Kwa ambao mzazi mmoja alifariki kabla ya Mambo ya nida hayajakuwepo wanahitaji uthibitisho wa kifo chake au namba ya nida ya mzazi mmoja inatosha.Vijana hasa wa fom for tafuteni na vyeti vya la Saba pili namba za nida za wazazi kati ya mmoja Mambo ninayoyaona huku vijana mtamwagwa sana kwenye usahili
Oyaa tuwe na subira mambo mazuri yanakuja wakubwa mtaan bado wataitwa tuMkuu Kwa ambao mzazi mmoja alifariki kabla ya Mambo ya nida hayajakuwepo wanahitaji uthibitisho wa kifo chake au namba ya nida ya mzazi mmoja inatosha.
Kwanini ulifeli?Mm nilisha wahi kufanya usahili wa military science enzi hizo 2022 nikiwa 822 kj rwamkoma hyo duh Nili feli wadau