Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

'tyu' ndio nini?! JW wana haki ya kukutimua kabisa.
For me niliambiwa 4moths salary niitoe kwa mbuyu afta kutoboa kozi lkn wakat huo huo mbuy akttak nimtumie kitu flan lets say chet fulqn labda kinahtjika hua namsindkzia hta na 50k tena Kuna mda nakaaa namuingzia 30 namwambia "kiongozi eeh ya mafuta hiyo bhana"
 
Vijana hasa wa fom for tafuteni na vyeti vya la Saba pili namba za nida za wazazi kati ya mmoja Mambo ninayoyaona huku vijana mtamwagwa sana kwenye usahili

Vijana hasa wa fom for tafuteni na vyeti vya la Saba pili namba za nida za wazazi kati ya mmoja Mambo ninayoyaona huku vijana mtamwagwa sana kwenye usahili
Mkuu Kwa ambao mzazi mmoja alifariki kabla ya Mambo ya nida hayajakuwepo wanahitaji uthibitisho wa kifo chake au namba ya nida ya mzazi mmoja inatosha.
 
Back
Top Bottom