Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Wale waliorudishwa jana wamepigiwa simu leo kuwa majina yao yameitwa,Hivyo wamerudi makutupora leo.
Nitaendelea kuwapa update.
Anha embu tupe namba ya Mtu mmoja aliepo pale makutopolaNamaanisha walivyoenda jana walikutana na marafiki zao waliosoma nao shule so wakabadilishana namba so wale marafiki zao ndio wamewapigia kuwaambia majina yenu yamesomwa,Lakini pia mbanga wake alimpigia simu kuwa mambo yapo vzr rudi.
Mkuu kwani umepigiwa simuOya kama kuna Mtu yupo MWANZA anataka kiingia makutopora aseme twend ila isizid kesho
Mm nipo mwanza, tunaingiaje wakati hatujaitwa au ww umepigiwa?Oya kama kuna Mtu yupo MWANZA anataka kiingia makutopora aseme twend ila isizid kesho
Hapana sijapigiwa ww kama upo tayar ww twend tuseme tumepigiwa simuMm nipo mwanza, tunaingiaje wakati hatujaitwa au ww umepigiwa?
Ukiambiwa onyesha namba ya aliyekupigia😄😄😄 sitaki doso lisilo na mshahara.Hapana sijapigiwa ww kama upo tayar ww twend tuseme tumepigiwa simu
Utakomaa huko huko wakikufukuza usitoke hadi wakuonee huruma wakupeleke msataUkiambiwa onyesha namba ya aliyekupigia😄😄😄 sitaki doso lisilo na mshahara.
😄😄😄🙌Utakomaa huko huko wakikufukuza usitoke hadi wakuonee huruma wakupeleke msata
Tarehe 23Kwa anae jua iv wamtaaan wataaanza kuitwa lin mana tushakaa na cm karbu mpka tumechoka
Hakuna mtu wa mtaani aliepigiwa acha uongo mzeeKwenye vyanzo vyangu vya kuaminika,Ameniambia watu wa mtaani walianza kupigiwa simu juzi wakipewa maelekezo waende kuripoti makutupora,Mwisho wa kuripoti ni kesho na wameambiwa wabebe vitu vya muhimu vyote maana hakuna kurudi wakitoka hapo mwez wa kumi mwanzoni wanaelekea msata.
We Jamaa ueleweki kwan number c wanazo tayari na wamtaani mpaka next weekNamaanisha walivyoenda jana walikutana na marafiki zao waliosoma nao shule so wakabadilishana namba so wale marafiki zao ndio wamewapigia kuwaambia majina yenu yamesomwa,Lakini pia mbanga wake alimpigia simu kuwa mambo yapo vzr rudi.
Hakuna mtu wa mtaani aliepigiwa acha uongo mzee
Wewe ndo muongo.....wewe si una mbanga ambae sio mstaafu mbona siku zote upo humu JF unazurura tu kazi kutoa taarifa za uongo kwanin na wewe wasikupigie simu sasa.Tafuta mbanga wakueleweka akupe info vzr achan na hao wastaafu.Wenye mbanga zao za maana wameshapigiwa simu.So kutopigiwa kwako simu haimaanishi kuwa wengine hawajapigiwa.
Comment na ID yako ya siku zote ndio nitakujibu.Wewe ndo muongo.....wewe si una mbanga ambae sio mstaafu mbona siku zote upo humu JF unazurura tu kazi kutoa taarifa za uongo kwanin na wewe wasikupigie simu sasa.