Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mh ww mkuu taarifa unazitoa wap mbona sisi tuna ma mbanga wa uhakika ma kanal wanasema wa mtaan bdo
Nina ndugu ambaye amepigiwa simu akiwa mtaani ila alipitaga jkt mujibu wa sheria previously,Ameenda kuripoti Makutupora ndio ananipa update zote hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…