Naskia form 6 bado hawajaanza kuitwa wanasubiri bogi lao liwe na wale wa military sience alafu Kuna bogi lingine la madaktari ndio mabogi ya mwishoYaaaah kaka 834KJ MAKUTUPORA fuatilia ķwa waliopo hukoh watakupa updated sina haja ya kuwadanganya.
Upo sahihi kaka,, sema wengi wameambiwa na Mbaga zao waendelee kusubr domAsubuhi ya leo wamepigishwa sanaaaa fatiki,Watu wamepiga kazi kinoma mwagilia sanaaaa vitunguuu.Wakijua kwamba wanaingia mzigoni loooooooh kuja kufolenishwa wamejikuta kundi la wanaorudi nyumbani it means wamejila.
Pamoja na mbanga lakin wakaweka vyet feki?Upo sahihi kaka,, sema wengi wameambiwa na Mbaga zao waendelee kusubr dom
Pamoja na mbanga lakin wakaweka vyet feki?
Kala chuma mboga dogo hataki kukubaliHuyu mmoja wa aliyerudishwa
Kweli rizki mantashara, unaweza kupika lakin usile walahiKaka wengine h
ad Mbaga za mawazir
Ila wengi wameambiwa wasubr dom na mbaga zaoKweli rizki mantashara, unaweza kupika lakin usile walahi
Watu walikua machame pale wanasubiri gari na vipara vyao alooh daahUpo sahihi kaka,, sema wengi wameambiwa na Mbaga zao waendelee kusubr dom
Upo sahihi kaka👍Yaaaah kaka 834KJ MAKUTUPORA fuatilia ķwa waliopo hukoh watakupa updated sina haja ya kuwadanganya.
Cheti cha Mujibu😂😂😂Sababu ni vyeti tu maana walikuwa wanaulizwa una cheti cha la saba una leaving yake,Una cheti cha form four na leaving yake una cheti cha jkt.Wanakuuliza ulienda chuo hat kama ukidanganya hukuenda wanajua sijui walikuwa wanafanyaje maana kuna mtu alidanganya akaambiwa tena unadaiwa na mkopo.
Sio watangulie msata?Ila wengi wameambiwa wasubr dom na mbaga zao
Polis imebeba mtu ngapiPolisi wametoa majina hukoh
Elfu 3 mia tano kamiliPolis imebeba mtu ngapi