Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Naaam upo vzr
 
Bogi la pili tena si walisema
Ndo imeisha ivo au
 
Yaaani Huyo anaekwambia kuwa kuna Bogi lingine anawapa tu Moyo hakuna kitu kama icho Ngoma imeshaisha subirini Tangazo Jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…