Oyaaaa mkuu upo sahihi kabsa.Watuuu wa Orjoro andaeni mabegiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaaa mkuu upo sahihi kabsa.Watuuu wa Orjoro andaeni mabegiiiiiii
Naaam upo vzrMaelekezo niliopokea ni kwamba usaili rts umekamilika,kwahivo wanasubriwa kusomwa unfeet kuanzia kesho oct15,majina ya ambao sio unfeet yameshawasilishwa ngome.Kwahyo bog la 2 tujiandae,week hii hii sim zitaita,ssa we fanya Kama umeenda kukojoa hapo angani ukrudi wahuni washatembea.
Tukae na vidogoli karibuNaaam upo vzr
Tatzo vijana wanapokea taarifa so sahihi,yaam kuanzia kesho tukae na vidogoli vyetuWatu wakikata tamaa anatokea mtu wa kuwapa moyo 😂
Ni kweli taatifa Yako na yangu naona vipo sawaNaaam upo vzr
Bogi la pili tena si walisemaMaelekezo niliopokea ni kwamba usaili rts umekamilika,kwahivo wanasubriwa kusomwa unfeet kuanzia kesho oct15,majina ya ambao sio unfeet yameshawasilishwa ngome.Kwahyo bog la 2 tujiandae,week hii hii sim zitaita,ssa we fanya Kama umeenda kukojoa hapo angani ukrudi wahuni washatembea.
Una nongwa kaka 😂😂😂 acha watu wajifarijiKwa hiyo members wote humu mnataka kuingia bogi hilo? Mnadhani wote mtaitwa au?
Kalageni bahoUna nongwa kaka 😂😂😂 acha watu wajifariji
Kalaga baho nkajua uko MsataKalageni baho
ukweli mchunguYaaani Huyo anaekwambia kuwa kuna Bogi lingine anawapa tu Moyo hakuna kitu kama icho Ngoma imeshaisha subirini Tangazo Jipya
Bogi la pili jeshi la wokovu 😂Yaaani Huyo anaekwambia kuwa kuna Bogi lingine anawapa tu Moyo hakuna kitu kama icho Ngoma imeshaisha subirini Tangazo Jipya
Inategemeana na uhitaji wao mbona apo apo Rts kuna kipindi wanakuwa 300 tu...Kwani bogi hua linakua na watu wangap?
Inategemeana na uhitaji wao mbona apo apo Rts kuna kipindi wanakuwa 300 tu...