Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Maelekezo niliopokea ni kwamba usaili rts umekamilika,kwahivo wanasubriwa kusomwa unfeet kuanzia kesho oct15,majina ya ambao sio unfeet yameshawasilishwa ngome.Kwahyo bog la 2 tujiandae,week hii hii sim zitaita,ssa we fanya Kama umeenda kukojoa hapo angani ukrudi wahuni washatembea.
Naaam upo vzr
 
Maelekezo niliopokea ni kwamba usaili rts umekamilika,kwahivo wanasubriwa kusomwa unfeet kuanzia kesho oct15,majina ya ambao sio unfeet yameshawasilishwa ngome.Kwahyo bog la 2 tujiandae,week hii hii sim zitaita,ssa we fanya Kama umeenda kukojoa hapo angani ukrudi wahuni washatembea.
Bogi la pili tena si walisema
Ndo imeisha ivo au
 
Yaaani Huyo anaekwambia kuwa kuna Bogi lingine anawapa tu Moyo hakuna kitu kama icho Ngoma imeshaisha subirini Tangazo Jipya
 
Back
Top Bottom