Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Ni uongo hakuna kitu kama Icho mwaka jana ilikuwa ivo ivo mpaka Tangazo lingine limetoka na saizi mpaka tangazo lingineAnhaa….Kwahyo unataka kuniambia taarifa ya trojan1 kuhusu bog la2 ni ya uongo?
LEO NIMEKAAA NKAANZA KUSOMA JUMBE ZA TOKA MWAKA JANA MBAKA ZA LEO NIMEGUNDUA KUWA WATU WALIKUA WANASUBILI KUITWA HADI LIKATOKA TANGAZO JIPYA MBAKA SASA NGOMA NGUMU HII NI SAWA NAKUSEMA KUWA HAPA NI KUSUBILI TANGAZO JIPYA NB: KAMA MBANGA YAKO NI MAJI MAREFU AU ANAWEZA BASI ENDELEA KUSUBIRI..... ILA KAMA NI 😂😂😂 JUA KUWA KAZI KWISHA✍️ NAOMBA KUWASILISNA!!🙏🙏🙏
Mim nshakula blue tick mbak nimenyoosha mikon juuh
We force mpigie sim, mwambie unautaka mshati 😂😂Mim nshakula blue tick mbak nimenyoosha mikon juuh
Kuna wakati unapaswa utulie tu mana nilisikia Kuna mtu anasema jeshi sio KIPAIMARAWe force mpigie sim, mwambie unautaka mshati 😂😂
Inatia hasira mbaya mbovu sema unavungaaa tuKwamba mbanga yako ukiitumia text inasoma alaf inakausha….kweli hali ni tete mkuu😂😂