Ni kweli chenja zimeaza Leo balaa tuwaombee vijana wetu wamalize kozi salama.maana Kuna vijana wachache wajinga wanefukuzwa sababu ya wizi wa kuvunja matrunker ya wezao na simu.Kesho vijana kihangaikoni wanaanza bure kitendo.
Wameaza tuwaombee vijana wetu wamalize kozi salama waje waitimikie nchi kwa welediEnhee mkuu leo ndo tareh28, vp kozi imeanza msata??😅
Kuna wanao subiri bado.Wengi tu.Wameaza tuwaombee vijana wetu wamalize kozi salama waje waitimikie nchi kwa weledi
Hata Kama kozi imeaza Leo lakini bado Kuna watu wataingia tu mpaka wiki moja mbili mbele watu wataingia tu pambana na mmbanga wako tuKuna wanao subiri bado.Wengi tu.
Mungu awasaidieHata Kama kozi imeaza Leo lakini bado Kuna watu wataingia tu mpaka wiki moja mbili mbele watu wataingia tu pambana na mmbanga wako tu
Wameaza tuwaombee vijana wetu wamalize kozi salama waje waitimikie nchi kwa weledi
inakuaga mwezi wa 12 madogo wanakua washaenda mpaka chuo ndio wanapigiwa simuWale wa Mil. science kozi wanaanza lini?
nhaainakuaga mwezi wa 12 madogo wanakua washaenda mpaka chuo ndio wanapigiwa simu
unatoboa mzee
Habarin za saizi kama kuna mbanga anaweza kunipachika jeshini naomba tuwasiliane tafadhali
NB; GHARAMA ZOTE NITALIPA
ahsante
Habarin za saizi kama kuna mbanga anaweza kunipachika jeshini naomba tuwasiliane tafadhali
NB; GHARAMA ZOTE NITALIPA
ahsante
ndo natafuta hata mbanga uku kam yupo nione kama naweza pata msaada hata kwa kutumia gharamaDaah ndugu yangu nowdays hiz kazi sisi watoto wa maskin ndo tunapata shida kuzipata, ila ukiwa na chanel aka mmbuyu(wakukushika mkono) basi hizi kazi za majeshi ni rahisi sana kuzipata yani wala hata huwazi…ila bila kua na mbanga hiz kazi utaziskia tu kwa wengne, ni changamoto aisee
Naona kwa huko uhitaji utavutia matapeli kua makini tu mzeeN
ndo natafuta hata mbanga uku kam yupo nione kama naweza pata msaada hata kwa kutumia gharama
N
ndo natafuta hata mbanga uku kam yupo nione kama naweza pata msaada hata kwa kutumia gharama
Watu wanaesabu six weekKimyaaa kimyaaaa kwishaaaa habariiii
so kweliWatu wanaesabu six week
Subiri kiapoo cha utiii pale rtsso kweli
aya sawa ila husidanganye ummaSubiri kiapoo cha utiii pale rts
Sawa 🗣️🗣️aya sawa ila husidanganye umma