Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Anhaa…hiv ukiwa haujamaliza form6 mwaka huu yaani umemaliza miaka ya nyuma bt umesoma science PCM, PGM au PCB ukipata mbanga haiwezi ikakupachika uko kwenye ilo bogi la hao wa mil. science?
inakuaga mwezi wa 12 madogo wanakua washaenda mpaka chuo ndio wanapigiwa simu
nhaa
 
Habarin za saizi kama kuna mbanga anaweza kunipachika jeshini naomba tuwasiliane tafadhali

NB; GHARAMA ZOTE NITALIPA
ahsante
 
Daah ndugu yangu nowdays hiz kazi sisi watoto wa maskin ndo tunapata shida kuzipata, ila ukiwa na chanel aka mmbuyu(wakukushika mkono) basi hizi kazi za majeshi ni rahisi sana kuzipata yani wala hata huwazi…ila bila kua na mbanga hiz kazi utaziskia tu kwa wengne, ni changamoto aisee
Habarin za saizi kama kuna mbanga anaweza kunipachika jeshini naomba tuwasiliane tafadhali

NB; GHARAMA ZOTE NITALIPA
ahsante

Habarin za saizi kama kuna mbanga anaweza kunipachika jeshini naomba tuwasiliane tafadhali

NB; GHARAMA ZOTE NITALIPA
ahsante
 
N
Daah ndugu yangu nowdays hiz kazi sisi watoto wa maskin ndo tunapata shida kuzipata, ila ukiwa na chanel aka mmbuyu(wakukushika mkono) basi hizi kazi za majeshi ni rahisi sana kuzipata yani wala hata huwazi…ila bila kua na mbanga hiz kazi utaziskia tu kwa wengne, ni changamoto aisee
ndo natafuta hata mbanga uku kam yupo nione kama naweza pata msaada hata kwa kutumia gharama
 
Back
Top Bottom