Wameondolewa wamepelekwa Kambi ipi!?Take it
Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Kwamba unataka kusema vijana wakae mkao wa kulaTake it
Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Hao watu ni wa makambini au ni wale wa uraiani walioomba kwa lile tangazo la mwezi July?Mwezi wa 12 kuanzia tar 9 watu wa dodoma dar iringa na mbeya wataanza kupigiwa simu
Sio kwamba panaandaliwa kwa ajili ya wale wa Bms pekee kuja kupiga kozi?Take it
Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Week 2 kufikia apo wanaitwa wa wapi?Mwezi wa 12 kuanzia tar 9 watu wa dodoma dar iringa na mbeya wataanza kupigiwa simu
Watot wa mama Ntilie tena mnataka kwenda kwenye kazi ya kumnyonya mama Ntilie mi siwezi kwakweliKama unajizungumziaa wewee ni Sawa....Sisi watoto wa mama Ntilie ile kwetu ni fresh tu tena Sanaβ
Unazidi kuwachanganya vijana hakuna kitu kama icho Oljoro.. ni Skendo tu hizo watapigia Bms tu nao ni wachache hakuna haja ya kupishaTake it
Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Hongera champ kwa kukubali na kupokea ukweli mchunguβ¦until next timeβMIM NINACHOSHUKURU MBANGA YANGU Juzin ISHANITOBOA UKWELI KUW IMESHINDIKANA KUPENYEZA JINA ni subiri wakati mwingine
Unazidi kuwachanganya vijana hakuna kitu kama icho Oljoro.. ni Skendo tu hizo watapigia Bms tu nao ni wachache hakuna ha
mkiambiwa ukweli hamtaki mkiambiwa uongo mnafurahiJamaa ni muongo mbaya mwachiluwa punguza lonja za kitoto.
Ukweli ni kwamba hakuna ata mmoja kutoka mtaani ataitwa kupitia simu ya makao may be simu ya mbanga la sivyo tufanye kazi zingine tangazo jipya mwezi march jiandaenimkiambiwa ukweli hamtaki mkiambiwa uongo mnafurahi
Yaaani ilishaisha biashara hii watakao itwa ni Bms na hapo hakuna mtu atakae chomekwa may be awe amemaliza six mwaka huu huukuitwa kwenda wapi tena tulishakubaliana biashara ishaisha au π π π π π nyie jamaa bna
Tuish nayoo hii ya MarchUkweli ni kwamba hakuna ata mmoja kutoka mtaani ataitwa kupitia simu ya makao may be simu ya mbanga la sivyo tufanye kazi zingine tangazo jipya mwezi march jiandaeni
Kuna Mpya Mkuu dionisi manuchoW A K U B W A W A Z E E WA L O N J A
πͺ vamos π₯π₯π₯π₯π₯π₯ tupo pamoja sana