Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wameondolewa wamepelekwa Kambi ipi!?
 
Kwamba unataka kusema vijana wakae mkao wa kula
 
Sio kwamba panaandaliwa kwa ajili ya wale wa Bms pekee kuja kupiga kozi?
 
Unazidi kuwachanganya vijana hakuna kitu kama icho Oljoro.. ni Skendo tu hizo watapigia Bms tu nao ni wachache hakuna haja ya kupisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…