Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Take it

Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Wameondolewa wamepelekwa Kambi ipi!?
 
Take it

Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Kwamba unataka kusema vijana wakae mkao wa kula
 
Take it

Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Sio kwamba panaandaliwa kwa ajili ya wale wa Bms pekee kuja kupiga kozi?
 
Take it

Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
Unazidi kuwachanganya vijana hakuna kitu kama icho Oljoro.. ni Skendo tu hizo watapigia Bms tu nao ni wachache hakuna haja ya kupisha
 
Back
Top Bottom