Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Na skuiz koz wanapigisha ma CDO sio pw🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba kantuma wakiwa wengi doso ztapungua kdogo🤣😀 mbona vitisho mkuu.. inaelekea msata sio poa
hivi hizi kozi za RTS nao wanapataga likizo kama wale wa TMA au wao ni jaramba mwanzo mwisho?Na skuiz koz wanapigisha ma CDO sio pw🤣🤣
Level 3 ni miezi mitatu unapiga kwenye kikos ulichopangiwa baada ya kutoka RTS. Koz ya RTS ikiisha unaenda kuripot kwenye kikos ulichopangiwa huko ukifika ndo utapewa likizo kidogo kama sjakosea ni wiki2 baada ya hapo ndo unarud kikosin kupiga level3. Unaanza na six weeks🤣🤣hivi hizi kozi za RTS nao wanapataga likizo kama wale wa TMA au wao ni jaramba mwanzo mwisho?
Na kozi ya level 3 inachukuaga mda gani?
Na RTS kozi ni miezi mingapi mkuu?Level 3 ni miezi mitatu unapiga kwenye kikos ulichopangiwa baada ya kutoka RTS. Koz ya RTS ikiisha unaenda kuripot kwenye kikos ulichopangiwa huko ukifika ndo utapewa likizo kidogo kama sjakosea ni wiki2 baada ya hapo ndo unarud kikosin kupiga level3. Unaanza na six weeks🤣🤣
Kozi ni miez 6 mkuu bila kujumlisha mda utakao Kaa uzalendoNa RTS kozi ni miezi mingapi mkuu?
Sawa mkuuKozi ni miez 6 mkuu bila kujumlisha mda utakao Kaa uzalendo
Duh Level 3 ndo ikoje mkuu? Me nikajua ni kozi ya RTS tuLevel 3 ni miezi mitatu unapiga kwenye kikos ulichopangiwa baada ya kutoka RTS. Koz ya RTS ikiisha unaenda kuripot kwenye kikos ulichopangiwa huko ukifika ndo utapewa likizo kidogo kama sjakosea ni wiki2 baada ya hapo ndo unarud kikosin kupiga level3. Unaanza na six weeks🤣🤣
Ukishatoka RTS kwenye zile uniform utakazo pewa hutokuta zile suti Wala ballet kwahyo nnachojua mim level3 ndo koz ya kuitafta ballet. Yani ili uwe classified kwamba we ni wa kamandi au kikos gani. Mfano kikos Cha mizinga wao yao nyeusi , anga wao yao blue bahar , navy yao nyeupe , CDO ngerengere yao damu ya mzee , kamandi ya nchi kavu yao ya kijani, jkt ndo ile sjui rangi ya ugoro.Duh Level 3 ndo ikoje mkuu? Me nikajua ni kozi ya RTS tu
Inakua na six weeks pia lkn mnapiga na Kombat za bakabaka pia ina u RTS ndani yake. Ndo maana kombati ilopigiwa level3 unakuta imepauka kinoma. Lkn piah naskia wapo wanaopigia darasani baadhi ya vikosi ingawa sina uhakika labda tusubir wakuu wanirekebishe nlipokosea🥴🥴Duh Level 3 ndo ikoje mkuu? Me nikajua ni kozi ya RTS tu
Hiyo BALLET kuitafuta ndo kimbembe…Ukishatoka RTS kwenye zile uniform utakazo pewa hutokuta zile suti Wala ballet kwahyo nnachojua mim level3 ndo koz ya kuitafta ballet. Yani ili uwe classified kwamba we ni wa kamandi au kikos gani. Mfano kikos Cha mizinga wao yao nyeusi , anga wao yao blue bahar , navy yao nyeupe , CDO ngerengere yao damu ya mzee , kamandi ya nchi kavu yao ya kijani, jkt ndo ile sjui rangi ya ugoro.
Nadhani hyo ndo maana ya level 3 kama ntakua nmekosea wakuu mtanirekebisha
Uhakika hasa hiyo ballet ya damu ya mzee wazee wa tisa mbili ni kisanga Kama kikosi kinavyoitwa sangasanga....Hiyo BALLET kuitafuta ndo kimbembe…
Ukimwona mtu ana baleti (wenyewe wanaita kumwaga maji), muheshimu sana 😂
Sio kweli wapo wakufunzi RTS japo baadhi ndio CDO's na wengne wanapohitajika ndio wanaenda ongeza nguvuNa skuiz koz wanapigisha ma CDO sio pw🤣🤣
Kwakukazia hapo kwenye 5K ongeza 1K ndio nilichoskia bro watakao timba hapo kati sijui Kama n ya kwel....Kama bogi zikiwa mbili maanake hapo ni kuruti buku5 na ushee
Kwenye mtonyo connection inakua automatically, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usikalili mtonyo tu huwezi jua waliopo huko juu kitengo ana uhusiano gani nao na hii ndio first line hiyo ya mtonyo huwa ni second line[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Tupe lonja mkuu[emoji3061]
Ndo maana akeMchawi connection nzito au sio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waache…
Kuna jamaa yangu alikaa miaka mitatu, akarudi nyumbani.
Akapambana, akarudi kupewa mwaka mmoja..
Umeisha, now yupo home anamtukana kila mwenye bakabaka [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupimana marinda ni udhalilishaji jamani, je mpimaji akatamani kitoboo?? WoiiiiiihNajua RTS vizuri sana Vipimo vinavyopimwa ni Vingi nianze kumuandikia List kwelii..
=>B.P
=>Hepatitis B&C
=>SYPHILIS.
=>HIV/AIDS
=>EYE/EAR
=>MUSCLES AND BONE ARRANGEMENT.
=>Weight.
=>FEET PRINT.
=>ANUS MUSCLES.
=>TEETH ARRANGEMENT.
=>Malaria.
=>VEIN DISTRIBUTARIES..
VINGINE: NIFUATE Pm
😬😬😬[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupimana marinda ni udhalilishaji jamani, je mpimaji akatamani kitoboo?? Woiiiiiih