Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ukishatoka RTS kwenye zile uniform utakazo pewa hutokuta zile suti Wala ballet kwahyo nnachojua mim level3 ndo koz ya kuitafta ballet. Yani ili uwe classified kwamba we ni wa kamandi au kikos gani. Mfano kikos Cha mizinga wao yao nyeusi , anga wao yao blue bahar , navy yao nyeupe , CDO ngerengere yao damu ya mzee , kamandi ya nchi kavu yao ya kijani, jkt ndo ile sjui rangi ya ugoro.
Nadhani hyo ndo maana ya level 3 kama ntakua nmekosea wakuu mtanirekebisha
Shukrani sana mkuu na kuhusu kamandi unapangiwa au unapanga mwenyewe kwenye hiyo level 3
 
Inakua na six weeks pia lkn mnapiga na Kombat za bakabaka pia ina u RTS ndani yake. Ndo maana kombati ilopigiwa level3 unakuta imepauka kinoma. Lkn piah naskia wapo wanaopigia darasani baadhi ya vikosi ingawa sina uhakika labda tusubir wakuu wanirekebishe nlipokosea🥴🥴
Baada ya hapo inabidi tena ukasomee u-officer? Au mpaka upangiwe tena
 
sema basi tu ni umasikini na ukosefu wa ajira , tunakimbilia huko jw

kwa nchi zilizoendelea DF, ni service tu.
 
Bachelor japo nitatumia cheti cha kidato cha sita
Ni sawa ila mpaka ubahatike kwenye sahili zao watazofany kama n huko rts au vikosn japo kuna umri ukiwa umefika ni ngum kwenda mfn nina mshkaj wang n degree holder ila mpk sasa n Pte wenzake wameula mwaka jana Tma so bahati pia ikiwa upande wako...
 
Kwahio kuna RTS,level 3 na u-officer..
Hii ni kwa wote hata maEngineer,madokta nk
Huko mambo sio kama tuzaniavyo mzee Rts yaan Recruit Training school unatoka Kama TS,...alaf Level 3 ndio ukimaliza unakua Pte yaan Private huko TMA ndio Kama una elimu ukibahatika kwenye sahili bas utakua umeula ikishindikana bas utabak kuwa Pte japo utakua unakula dow ya hicho chet chako cha taaluma
 
Back
Top Bottom