Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Lonja mwez ujaoLonja zinasemaje wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lonja mwez ujaoLonja zinasemaje wakuu?
Issue inatizamiwa hawa waape tu wakitoka watu wanaanza kutimba RTSLonja mwez ujao
Lonja mwez ujao
Wiki ya mwisho ya mwez huu mpaka mwanzo wa mwez wa saba walio bahatika pengn wakaanza vutiwa wayaLonja zinasemaje wakuu?
Anaitwa WilsonKaka’ako anaitwa nani?
Maana OP magufuli (awamu ya pili-kujitolea) tuliwakuta OP Magufuli -Mujibu…
Alafu tukarudishwa tena mtaani…
Ila tulishaanza kuwa wazalendo…
Pengine nnaweza kuwa namjua..
Maana tulivyofika, Mujibu ndo walikuwa kwenye kozi, wahuni hadi tukajiuliza.
Kama Mujibu ndo hivi, sisi wajuba inakuaje? [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] 200k zililiwa, sikutoroshwaa, plus adhabu na mateso juu.Kule hutoroki, ila unatoroshwa…
Na mpaka watake kukutorosha…
Tena ukiwa pisi kali ndo kabisaaaaa…HUTOROKI na HUTOROSHWI [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka hadi naulizwa.. [emoji28][emoji28][emoji28]
Shukrani MkuuWiki ya mwisho ya mwez huu mpaka mwanzo wa mwez wa saba walio bahatika pengn wakaanza vutiwa waya
Yaaaah itatupa Dira vijana 2aBajeti Kuu ya Serikali inasomwa leo Bungeni
Yaaani kuna watu wapo humu humu na wanapambania hizi nafasi ila 6weeks tu hawatavumilia watatoroka tu nasemaje 😂😂😂wataondoka tu[emoji23][emoji23][emoji23] 200k zililiwa, sikutoroshwaa, plus adhabu na mateso juu.
Ila siku kusema kesho tunarudi home kutoka kambini, jinsi wale wajex walivyokua wanatoa maneno ya busara na utu, had najiuliza ndo hawa hawa wapiga kwaxoo aaah wee.
Jeshi sio kwa kukimbilia.
🥴🥴Yaaaah itatupa Dira vijana 2a
Yaaani kuna watu wapo humu humu na wanapambania hizi nafasi ila 6weeks tu hawatavumilia watatoroka tu nasemaje 😂😂😂wataondoka tu
😂😂😂Yaaaah itatupa Dira vijana 2a
Yaaani kuna watu wapo humu humu na wanapambania hizi nafasi ila 6weeks tu hawatavumilia watatoroka tu nasemaje 😂😂😂wataondoka tu
Kawacheki pale base mkuuWazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
iko wazi mbona😂, hakunaga bogi linapita bila ya watu kukimbiaYaaaah itatupa Dira vijana 2a
Yaaani kuna watu wapo humu humu na wanapambania hizi nafasi ila 6weeks tu hawatavumilia watatoroka tu nasemaje 😂😂😂wataondoka tu
[emoji23]kuna siku nilimuandikia sms sasa "Faza leo hii unanikunjia lakin jua una watoto pia kuna leo na kesho" niliamua kuifuta tu, namuona kama adui tu kwanguWe unafanana na mimi kuanzia mwaka wa mapambano mpaka cheo cha mbanga. [emoji28] Tuwaombee mabaya kweli.
Mkuu kumbe upo RTS tyr na husemi🤣🤣Kweli kabisa kuna watu wanataman baka baka ila huwezo wa kuvumilia hawana nasemaje lazima wateme mbung'o wakija Rts...
Watu wana Siri sana 😂😂Mkuu kumbe upo RTS tyr na husemi🤣🤣
Nimetamani nikutukane, nikagundua wenye shobo kama wewe huwa wanapumuliwa kisogoni…Kawacheki pale base mkuu
Waende wakajionee wenyewee huko huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaaaah itatupa Dira vijana 2a
Yaaani kuna watu wapo humu humu na wanapambania hizi nafasi ila 6weeks tu hawatavumilia watatoroka tu nasemaje [emoji23][emoji23][emoji23]wataondoka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimetamani nikutukane, nikagundua wenye shobo kama wewe huwa wanapumuliwa kisogoni…
Ila by the way, FU*K YOU[emoji23]
JaKaTa tu, wanatema bungo, itakuwa ujubani…!!😀Yaaaah itatupa Dira vijana 2a
Yaaani kuna watu wapo humu humu na wanapambania hizi nafasi ila 6weeks tu hawatavumilia watatoroka tu nasemaje 😂😂😂wataondoka tu