Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
- #641
Ndo maana’ke, potelea mbali 😀Waende wakajionee wenyewee huko huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana’ke, potelea mbali 😀Waende wakajionee wenyewee huko huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto mnduku huyu, wanamkula Kinyeo…[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sio poa mkuu.. kuna watu wanajua humu ngoja tuwasubiriWakuu habari zenu,Vipi lonja zinasemaje huko makao kuelekea RTS?..Nataka nijue mapema kua nimetapeliwa au Lah! Nifanye mambo yangu mengine.
😂😂😂bado subiri tu toka miaka ile bdo hujapita rtsWakuu habari zenu,Vipi lonja zinasemaje huko makao kuelekea RTS?..Nataka nijue mapema kua nimetapeliwa au Lah! Nifanye mambo yangu mengine.
Mkuu miaka ipi tena?😊..Me mbona ndio nafukuzia hii intake ya 43 na me niwemo..😂😂😂bado subiri tu toka miaka ile bdo hujapita rts
Poa mzee ngoja tuendelee kusubiria maana nisije nikajipa hopes kumbe mbanga wangu naye anamsikilizia mbanga wake.sio poa mkuu.. kuna watu wanajua humu ngoja tuwasubiri
Toka mwaka jana tupo pamoja humu tunapambana hahaha Mdg wang bdo sijafanikisha unanishaurijeMkuu miaka ipi tena?😊..Me mbona ndio nafukuzia hii intake ya 43 na me niwemo..
Eeh mkuu si wote tulijua kozi itapigwa mwaka jana ila ndio hivyo mambo yamekuwa mengi hatimaye mwaka ukaisha.Toka mwaka jana tupo pamoja humu tunapambana hahaha Mdg wang bdo sijafanikisha unanishaurije
Sorry mkuu umekaa kota za wapi ?Yah mkuu kama ulkua kichwani mwangu vile. Watu tulokulia kota tangia wadogo wengi wetu jeshi lipo damuni. Lkn walolijua baada ya kuanza harakat za ajira ndo hao wanaosema hawalipendi🤣
Hii taarifa ina ukweli mkuu?Standard seven - 1500
Form four - 2900
Form six - 300
Diploma - 170
Degree - 130
Total 5000
Jeshi limesema saiv haliajiri darasa la 7 acha kutulisha matango pori mkuu🥴🥴Standard seven - 1500
Form four - 2900
Form six - 300
Diploma - 170
Degree - 130
Total 5000
😂😂😂😂Daaaah hii taarifa ya Uongo kabisa Now Darasa la Saba Haipo kama kuna mtu anatarajia na cheti cha la saba Akae tu Pembeni hakuna kitu kama IyoStandard seven - 1500
Form four - 2900
Form six - 300
Diploma - 170
Degree - 130
Total 5000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaahNdo maana’ke, potelea mbali [emoji3]
Nyiee watu aaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto mnduku huyu, wanamkula Kinyeo…
Anashobokea vya watu [emoji23]
Bogi znakua mbili mkuu. Mbn 2022 zilipigwa bogi mbili hapohapo kihangaiko lkn walipishana tu tarehe ya kuhitimu ingawa wote walihitimu June. Na walipigwa na military science six weeks. Ukijumlisha military science unaeza sema zilikua bogi3 ingawa wao ni wachacheWajuzi wa mambo vipi kama intake hii itachukua watu wengi 5-6K je wote watapigia Kihangahiko au nusu wataamishiwa Oljoro
Ijapokua mwakajana tuliambia bogi ztakua mbili kwamba c tulokosa kihangaiko tutaenda oljoro lkn hola tukabaki mtaani😬😬Bogi znakua mbili mkuu. Mbn 2022 zilipigwa bogi mbili hapohapo kihangaiko lkn walipishana tu tarehe ya kuhitimu ingawa wote walihitimu June. Na walipigwa na military science six weeks. Ukijumlisha military science unaeza sema zilikua bogi3 ingawa wao ni wachache
Lakini hawa OP Mabeyo darasa la saba pia wamefanyiwa uhakiki kwahiyo inawezekana hili ndio ikawa bogi la mwisho wao kuwepo.😂😂😂😂Daaaah hii taarifa ya Uongo kabisa Now Darasa la Saba Haipo kama kuna mtu anatarajia na cheti cha la saba Akae tu Pembeni hakuna kitu kama Iyo