Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Mara nyingi ni Wale wa mikoani Au wilaya washauri wa Mgambo ndo wanakuwa nazo hizoWajuzi wa mambo ni maafande gan hasa huwa wanapewa nafasi hizo kuingiza raia JW??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi ni Wale wa mikoani Au wilaya washauri wa Mgambo ndo wanakuwa nazo hizoWajuzi wa mambo ni maafande gan hasa huwa wanapewa nafasi hizo kuingiza raia JW??
Mna hatariiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumefanyaje [emoji3][emoji3]
Nimecheka km chiziii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu leteni lonja,Mbanga hapokei simu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wangu kazima simu kabisaa
Uhakikaa.Mbanga watapokea simu baada ya skukuu kupita maana hapo ndo watakuwa wanayo tarehe ya kuripoti
Kitenge chenyewe Wax OG, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi Vitisho Kitambo sana watu tulitishwa kuwa yaaan ukifika rts utakubali kuna maafande wakasema yaan ukimaliza kozi mi naacha kazi ila wapi[emoji23][emoji23][emoji23] waache Vijana wanataka Kitenge Kila mtu atakivaa kwa kutumia Njia yake usiwakatishe tamaa..
Ngoma ngumu bdoWakuu kimya sana au ndo mshaenda RTS kimya kimya..[emoji1]
We acha tu.Nimecheka km chiziii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mbanga aache uwaki, km vipi akupe faranga zako, asikupige kiboyaa, khaaaahWe acha tu.
Mwanzo kabla sijampa hela alisema nisijali maana kila kitu kipo chini ya uwezo wake.
Sasahivi amechange 'tone' na anasema kua niendelee kumuomba mungu maana anadai kua mambo sivyo alivyozoea.[emoji23]
Mambo yamebadilika sana mwaka huu naona😂We acha tu.
Mwanzo kabla sijampa hela alisema nisijali maana kila kitu kipo chini ya uwezo wake.
Sasahivi amechange 'tone' na anasema kua niendelee kumuomba mungu maana anadai kua mambo sivyo alivyozoea.😂
mwaka huu kuna rundo la watu ko now nikupambana sana kama unaundugu na CDF ndo unaeza Toboa kirahis au secretary wa PDF inayoandaliwaWe acha tu.
Mwanzo kabla sijampa hela alisema nisijali maana kila kitu kipo chini ya uwezo wake.
Sasahivi amechange 'tone' na anasema kua niendelee kumuomba mungu maana anadai kua mambo sivyo alivyozoea
😂😂😂ngoma ngumuMambo yamebadilika sana mwaka huu naona😂
Mwaka huu ni Nani unaemjua yeye yuko wapi na ni nani?
Uzuri kulikua na maandikishianoWee mbanga aache uwaki, km vipi akupe faranga zako, asikupige kiboyaa, khaaaah
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nishamwambia afanye awezavyo nivae kitenge.Wee mbanga aache uwaki, km vipi akupe faranga zako, asikupige kiboyaa, khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee noma sanaNgoma ngumu bdo
Uzuri kulikua na maandikishiano
Nishamwambia afanye awezavyo nivae kitenge.
Vingenevyo nataka vyang
Hivi PM hamnaga voice note eeh..!?Nimecheka km chiziii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari njema hii mkuuKundi maalum waliokuwepo Rts wameshaua mchezo sasa basi kwanzia mwanzo wa mwez wa saba wanatarajia kuanza kupokewa wengne,,,, MUNGU AWE UPANDE WETU
sio vyema kuvujisha namba ya muhusika ifute tu bora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii mbona hatariii hii, woiiiiihUzuri kulikua na maandikishiano
Nishamwambia afanye awezavyo nivae kitenge.
Vingenevyo nataka vyangu.