Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kitenge chenyewe Wax OG, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We acha tu.
Mwanzo kabla sijampa hela alisema nisijali maana kila kitu kipo chini ya uwezo wake.

Sasahivi amechange 'tone' na anasema kua niendelee kumuomba mungu maana anadai kua mambo sivyo alivyozoea.[emoji23]
Wee mbanga aache uwaki, km vipi akupe faranga zako, asikupige kiboyaa, khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We acha tu.
Mwanzo kabla sijampa hela alisema nisijali maana kila kitu kipo chini ya uwezo wake.

Sasahivi amechange 'tone' na anasema kua niendelee kumuomba mungu maana anadai kua mambo sivyo alivyozoea.😂
Mambo yamebadilika sana mwaka huu naona😂
Mwaka huu ni Nani unaemjua yeye yuko wapi na ni nani?
 
We acha tu.
Mwanzo kabla sijampa hela alisema nisijali maana kila kitu kipo chini ya uwezo wake.

Sasahivi amechange 'tone' na anasema kua niendelee kumuomba mungu maana anadai kua mambo sivyo alivyozoea
mwaka huu kuna rundo la watu ko now nikupambana sana kama unaundugu na CDF ndo unaeza Toboa kirahis au secretary wa PDF inayoandaliwa
 
Wee mbanga aache uwaki, km vipi akupe faranga zako, asikupige kiboyaa, khaaaah
Uzuri kulikua na maandikishiano
Wee mbanga aache uwaki, km vipi akupe faranga zako, asikupige kiboyaa, khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nishamwambia afanye awezavyo nivae kitenge.

Vingenevyo nataka vyangu.
 
Uzuri kulikua na maandikishiano
Nishamwambia afanye awezavyo nivae kitenge.

Vingenevyo nataka vyangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii mbona hatariii hii, woiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…