Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

View attachment 3038223

Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
Inakosana kitu kimoja tu, yake kuna mahali kajaza FORCE NUMBER yake…

Utofauti mwingine, anapiganishiwa na baba’ke. Mzee wake kitengo ila hayupo makao, ndo anampiganishia na watu wa makao …

Ila, atajua mwenyewe 😅
 
Mmmh huyu standard 7 ni uongo kupata labda tukae kimya
nnavofaham aliishia form 3,labda kuna namna wawe wamefanya.
Hili jambo nimelishuhudia mwenyewe,sijahadithiwa hata nseme nna ukakasi na taarifa,mwezi huu anasepa.
Na mzee wake mtu mzito sana ndo kampambania,tena baada ya kuona dogo kajirudi maana alimsusa kabisa.
Ila lolote laweza kutokea,ngoja nikae kimya.
 
Oya wazee wangu, kuna Lonja nimelipata jana, sijui kuhusu ukweli wake.

Kuna dogo katoka NIT (Nadhani ndo anamaliza chuo), Katoa mzigo kiasi fulani, kajazishwa fomu, akaambiwa ajiandae kuripoti mwezi wa 8…
Afu Mbanga watawehusha watu. Kunae mwngine kafanyiwa hivyo hivyo kutoka Ardhi, kaambiwa week 3 zijazo atakua huko mahangaikonii.

Nilijisemea "hiii" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu Mbanga watawehusha watu. Kunae mwngine kafanyiwa hivyo hivyo kutoka Ardhi, kaambiwa week 3 zijazo atakua huko mahangaikonii.

Nilijisemea "hiii" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungemalizia tu, “hiiii, kumbe bado mimi tu, nakwama wapi?” 😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…