Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Mi ronja yang ni mpaka mwez wa 9 sasa sijajua ndo kozi kuanza au kuitwaa..Padone EPM@ :Taarifa Zina semaje upande wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ronja yang ni mpaka mwez wa 9 sasa sijajua ndo kozi kuanza au kuitwaa..Padone EPM@ :Taarifa Zina semaje upande wako.
Inakosana kitu kimoja tu, yake kuna mahali kajaza FORCE NUMBER yake…View attachment 3038223
Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
😂 mambo magumu sana 😅😂😂kibunda kimeenda Yooo... daaah ila watu kazi ipo
nnavofaham aliishia form 3,labda kuna namna wawe wamefanya.Mmmh huyu standard 7 ni uongo kupata labda tukae kimya
View attachment 3038223
Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
Unauhakika mzee na hii taarifa yako kwamba watu wameshapigiwa simu waende kuripoti?simu washapigiwa,wanaripoti mwezi huu
Dem yupo kwenye maandalizi na ndugu wa karibu wanamuaga/tunamuaga😂
Upande wako kunasemaje mkuu?Unauhakika mzee na hii taarifa yako kwamba watu wameshapigiwa simu waende kuripoti?
Mana Mimi lonja nilizonazo ni tofauti na hizo
Watu wanapiga hela kirahisi hii imeendaView attachment 3038223
Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
Kama ukiamua kutoa lonja toa inayoeleweka sio kufichaficha ni udwanzi huoPDF liko tayari 100% mwendo wa ndoige
Ukimaanisha Wana lipeleka peleka mbele kutoa .? Au tayari watu Wamesha itwa?PDF liko tayari 100% mwendo wa ndoige
TPDF hawana mambo ya PDF mzee. Mambo ya PDF yapo Home of Affairs.PDF liko tayari 100% mwendo wa ndoige
Huku hakuna matakataka Ya PDF labda aseme PDF ya getini ila sio ya kupost Dadeqii kazi ipoTPDF hawana mambo ya PDF mzee. Mambo ya PDF yapo Home of Affairs.
Huku ni mwendo wa calls na massage.
Mkuu huwezi amini hata kama pale getini jina lako halipo unaweza kupiga kozi vizuri tu kama ukiwa na mtu sahihi nyuma yakoHuku hakuna matakataka Ya PDF labda aseme PDF ya getini ila sio ya kupost Dadeqii kazi ipo
Afu Mbanga watawehusha watu. Kunae mwngine kafanyiwa hivyo hivyo kutoka Ardhi, kaambiwa week 3 zijazo atakua huko mahangaikonii.Oya wazee wangu, kuna Lonja nimelipata jana, sijui kuhusu ukweli wake.
Kuna dogo katoka NIT (Nadhani ndo anamaliza chuo), Katoa mzigo kiasi fulani, kajazishwa fomu, akaambiwa ajiandae kuripoti mwezi wa 8…
Ungemalizia tu, “hiiii, kumbe bado mimi tu, nakwama wapi?” 😅😅Afu Mbanga watawehusha watu. Kunae mwngine kafanyiwa hivyo hivyo kutoka Ardhi, kaambiwa week 3 zijazo atakua huko mahangaikonii.
Nilijisemea "hiii" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uhakika mkuu watu weny............ngoja niishie hapa nisije jikatili nafsi😂Mkuu huwezi amini hata kama pale getini jina lako halipo unaweza kupiga kozi vizuri tu kama ukiwa na mtu sahihi nyuma yako
Ndio hii lazima tuanzishe uzi mi pia ni shuhuda mmoja wapo kipindi napambania na ushahid ninaoKuna haja ya Kuanzishwa Uzi wa kutoa shuhuda jinsi watu walivyotapeliwa kwa njia ya nafasi jeshini.......