Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Hii sipingi mwaka fulani kuna mdau alifika pale Getini akakuta jina halisomi wakamuuliza umefikaje alitaja mtu kutoka juu so mbaya jamaa kweli Vipimo akapita na kozi alipiga now after level 3 yuko zake Mt. HukoMkuu huwezi amini hata kama pale getini jina lako halipo unaweza kupiga kozi vizuri tu kama ukiwa na mtu sahihi nyuma yako
huko mashulen ndio mpango mzima...wale wa dingi kani send sio mpk jina lipitie huko juuHii sipingi mwaka fulani kuna mdau alifika pale Getini akakuta jina halisomi wakamuuliza umefikaje alitaja mtu kutoka juu so mbaya jamaa kweli Vipimo akapita na kozi alipiga now after level 3 yuko zake Mt. Huko
hapo kwenye watu kuanza kozi hapana kabisa kitaa tunaishi na ma PT wa Rts sa cjui kozi unayosema wewe ni mgambo😂humu hamn mwenye lonja la uhakik zaid ya kupooza na kutiana moyo
yawezekana watu wakawa wanakaribia kuanza kozi
Embu leo jpili watembelee utupe lonja ...Pepsi huko kwenu bei gani?hapo kwenye watu kuanza kozi hapana kabisa kitaa tunaishi na ma PT wa Rts sa cjui kozi unayosema wewe ni mgambo😂
Mzee hao nao wanasubili tamko huko juu,,,Maana wao pia wapo waliodhani watu wangeanza kuingia Mwez huu ila ndio kama unavyoona tumeukarbia nusu mwez sasa mambo kmyEmbu leo jpili watembelee utupe lonja ...Pepsi huko kwenu bei gani?
Kwa kwelii Mungu asimame apoMzee hao nao wanasubili tamko huko juu,,,Maana wao pia wapo waliodhani watu wangeanza kuingia Mwez huu ila ndio kama unavyoona tumeukarbia nusu mwez sasa mambo kmy
Ndo nn sasa leta lonja sio ushubwada
hahahah mzee umeuaNdo nn sasa leta lonja sio ushubwada
Tafuta na ishu nyingine ya kufanya mzee usibweteke sana kuhusu uko utakuja kushtuka umri umeenda umekosa. Maisha sio lazima jeshiNdo nn sasa leta lonja sio ushubwada
Naelewa hilo mkuu nami Wala sjabweteka napiga misheTafuta na ishu nyingine ya kufanya mzee usibweteke sana kuhusu uko utakuja kushtuka umri umeenda umekosa. Maisha sio lazima jeshi
Eleza kwa upana mkuu tufunulie codeNimesoma li barua mpaka mwisho nikijua mambo yameanza kuitikia huko kumbe umeleta umillard ayo hapa😂😂
Mwanangu unakaza sana kichwa…Eleza kwa upana mkuu tufunulie code
😅😂Mwanangu unakaza sana kichwa…
Yani hata maelezo hayo unataka uambiwe kwa upana, yani hujaelewa..!?
Ovyo kabisa
😂😂😂afu kweli wadau wengne wanazngua maelezo yapo wazi anasema fungua code anataka nn zaidiMwanangu unakaza sana kichwa…
Yani hata maelezo hayo unataka uambiwe kwa upana, yani hujaelewa..!?
Ovyo kabisa