Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Daaah kweli huko sio poa mkuu mpaka naelekea kukata tamaa kabisa yani ronja za kwanza ilikua 5 Feb....ikawa ruka ni ruke mpka may, june, july nayo iyo inaanguka kesho kutwa tu hollaaa😥
Mm niliambiwa mwez wa nane mkuu, na chanzo cha taarifa hizi sio kidogo. Lakin mwamba Angu flan kanambia kurelax ndo mpango.
 
Daaah kweli huko sio poa mkuu mpaka naelekea kukata tamaa kabisa yani ronja za kwanza ilikua 5 Feb....ikawa ruka ni ruke mpka may, june, july nayo iyo inaanguka kesho kutwa tu hollaaa😥
Kaka haya mambo yafute tu akilini
Ikitokea bc fresh isipotokea poa
Yatakudisappoint
 
Mzee kula tu mpozo maana hata mambanga wenyewe wanateatea tu sasahivi.
😂😂😂 ni noumah ndio maan kuna siku nilisema hapa... hizi mambo kama zitakuja napo shegga tu maana mpaka wakufunzi wana ronja zao wanatamn majank waingie waishi utamu😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…