Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Uhakika ila huu usahili ni kisanga no mercy🔥😥Hajalaumiwa mtu mzee…
Tunawaonea huruma tu wadau watakavyoteseka, alafu ikawa si bahati yao..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika ila huu usahili ni kisanga no mercy🔥😥Hajalaumiwa mtu mzee…
Tunawaonea huruma tu wadau watakavyoteseka, alafu ikawa si bahati yao..
Kwelii wakuu anae jua mkeka wa Tipidiii lina wanatangazaWazee hamna ronja huko Tpidiiii😪
Jana kule kwenye mashujaa spichi haijapatikana? Mana spichi ndo itakuwa imetoa dodosoKwelii wakuu anae jua mkeka wa Tipidiii lina wanatangaza
Daaah kweli huko sio poa mkuu mpaka naelekea kukata tamaa kabisa yani ronja za kwanza ilikua 5 Feb....ikawa ruka ni ruke mpka may, june, july nayo iyo inaanguka kesho kutwa tu hollaaa😥Kwelii wakuu anae jua mkeka wa Tipidiii lina wanatangaza
Mm niliambiwa mwez wa nane mkuu, na chanzo cha taarifa hizi sio kidogo. Lakin mwamba Angu flan kanambia kurelax ndo mpango.Daaah kweli huko sio poa mkuu mpaka naelekea kukata tamaa kabisa yani ronja za kwanza ilikua 5 Feb....ikawa ruka ni ruke mpka may, june, july nayo iyo inaanguka kesho kutwa tu hollaaa😥
Kaka haya mambo yafute tu akiliniDaaah kweli huko sio poa mkuu mpaka naelekea kukata tamaa kabisa yani ronja za kwanza ilikua 5 Feb....ikawa ruka ni ruke mpka may, june, july nayo iyo inaanguka kesho kutwa tu hollaaa😥
Ndio hivo mzazi ngoja tuusubili huo mwezi wa nane,,,, maana kuna mkufunzi mmoja nae alinipanga hivo 8 au 9Mm niliambiwa mwez wa nane mkuu, na chanzo cha taarifa hizi sio kidogo. Lakin mwamba Angu flan kanambia kurelax ndo mpango.
kusema kufuta akilin huku bado unauvizia mzigo ni ngumu mkuu....labd hichi kipind utafute harakat nyngn botionKaka haya mambo yafute tu akilini
Ikitokea bc fresh isipotokea poa
Yatakudisappoint
Yes kua mpole .Mm niliambiwa mwez wa nane mkuu, na chanzo cha taarifa hizi sio kidogo. Lakin mwamba Angu flan kanambia kurelax ndo mpango.
Nikupe namba ya mkunda umuulize?Tuendelee hivo hivo kukawa na mwangaza kwenye hizo ronja
Mzee kula tu mpozo maana hata mambanga wenyewe wanateatea tu sasahivi.Yaan humu kila mtu anakuja na lake akisema mtu mwez wa 8 wote humo humo ikiskika mwez wa 9 wote tunahama upande....
😂😂😂 ni noumah ndio maan kuna siku nilisema hapa... hizi mambo kama zitakuja napo shegga tu maana mpaka wakufunzi wana ronja zao wanatamn majank waingie waishi utamu😄Mzee kula tu mpozo maana hata mambanga wenyewe wanateatea tu sasahivi.
Tena night Kali yani usiku mwingiJWTZ wametangaza nafasi hukoh
Tangazo linapatikna wap mkuu Zafrain sag, kwenye website a JWTZ au?JWTZ wametangaza nafasi hukoh