southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
millitary science wanapiga kivyao wale,kwan jw watu si walishatumaga maombi hado kuitwa tuuKaka southern boy embu tupe ronja la uhakika ila December aivuki na mpaka Sasa walioitwa ni military science tu.
Hahaha apo Sasa ndo unapoanza kutuchanganya ko waliotoka mwez wa tano ambao hawakwenda ndo watachukuliwa wale wale au kwa maana apa katikati sijaskia kutuma maombimillitary science wanapiga kivyao wale,kwan jw watu si walishatumaga maombi hado kuitwa tuu
bogi la mwez wa 5 ambao wamemaliza juzi ilikuwa ni bogi la wale wa mafinga walioitwa waasi na madaktari na maengeneer waliobaki makutupora wengine waliongezewa tuu halikuwa likihusiana na maombi yaleHahaha apo Sasa ndo unapoanza kutuchanganya ko waliotoka mwez wa tano ambao hawakwenda ndo watachukuliwa wale wale au kwa maana apa katikati sijaskia kutuma maombi
Ahaaaa apo nimeanza kukuelewa Sasa ko maombi Yale ndo mwezi ujao wanaanza kuitwa??bogi la mwez wa 5 ambao wamemaliza juzi ilikuwa ni bogi la wale wa mafinga walioitwa waasi na madaktari na maengeneer waliobaki makutupora wengine waliongezewa tuu halikuwa likihusiana na maombi yale
itakuwa but jw bila connectio hutoboiAhaaaa apo nimeanza kukuelewa Sasa ko maombi Yale ndo mwezi ujao wanaanza kuitwa??
Hilo linaeleweka Ndugu yangu waache Baba kanituma waje kupigwa Doso Dadeqiii...itakuwa but jw bila connectio hutoboi
[emoji1787][emoji1787]Date saved!!! But utaskia Tena ooooh tarehe 25 ya mwezi ujao yaani X-Massnmepata ronja sehem kuanzia tar 25
sahizi siamini ronja hiyo yenyewe nmeitikia tuu[emoji1787][emoji1787]Date saved!!! But utaskia Tena ooooh tarehe 25 ya mwezi ujao yaani X-Mass
Hiyo amini kiongozi ni yenyewsahizi siamini ronja hiyo yenyewe nmeitikia tuu
[emoji28][emoji28][emoji28] au sioHiyo amini kiongozi ni yenyew
Wengine wakina nani kaka?nukuu ya leo : wiki ijayo ni millitary science walio makutupora ndio wanaenda kihangaiko na wengine ni baada ya hapo.
mwisho wa kunukuu.[emoji41]
[emoji1787]wakina Baba kanitumaWengine wakina nani kaka?
Si umeona nilikwambia hili ndo ronja la uhakikanukuu ya leo : wiki ijayo ni millitary science walio makutupora ndio wanaenda kihangaiko na wengine ni baada ya hapo.
mwisho wa kunukuu.[emoji41]
Wote wote Kiongozi Kuna wengine wanavigezo vya kwenda military science na wengine wa kawaidaHao baba kanituma watakua millitary science au hawa wa kawaida
Mkuu mbona unatuchanganya..?[emoji28][emoji28]Kwani uko kwenu vipi???
[emoji1787][emoji1787]