Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hiyo kwangu sheria... nishamsliza kila kitu. N jana tu nlikuwa namalizia n kurujuwan pale kunduchi kwa shehe UmariAu mwenzetu uhakika 100%?
🤣Bro unaonyesha unaconection kubwa sana,iulize mbanga yako itakwambia mazaga yote yanayohitajika kule RTSHiyo kwangu sheria... nishamsliza kila kitu. N jana tu nlikuwa namalizia n kurujuwan pale kunduchi kwa shehe Umari
Oyah nifuate PM ukifika Rtiesin nikupe Mdg wang una moto sanaHiyo kwangu sheria... nishamsliza kila kitu. N jana tu nlikuwa namalizia n kurujuwan pale kunduchi kwa shehe Umari
Kwamba?Wakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya.
Tueleweshe kidogo...Wakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya.
Hujaeleweka mkuuWakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya
Hawaja elewa swali lako mkuu , Yani taarifa za Nini unapokea ?Wakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya.
Astutishe bhana hawa ndo walotuambia kwamba nafas zitatoka mwezi wa 9 lkn Cha ajabu zmetoka mwezi wa 7. Asilete lonja za ksenge hapa tunataka lonja za uhakika☹️Hawaja elewa swali lako mkuu , Yani taarifa za Nini unapokea ?
Mbanga wako niwakisenge kama anakuahidi we nenda tu kalimeWakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya.
Nan huyo😆😆 jamaa wa ‘ikuru’
Yaaan kwanz ukiona unatumia mbanga afu anakwambia kuwa utume na barua jua huyo anabeti mbanga wa uhakika anadai jina,force no, na nida basi apo ni kukutana rts tu
Taarifa umepewa lakinj hata kuiwasilisha vyema ueleweke umeshindwa...Wakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya.
Hawa jamaa wanaleta ushindani sana humu ndani....Astutishe bhana hawa ndo walotuambia kwamba nafas zitatoka mwezi wa 9 lkn Cha ajabu zmetoka mwezi wa 7. Asilete lonja za ksenge hapa tunataka lonja za uhakika☹️
Jau hao we fata tu maelekezo ya mbanga wakoHawa jamaa wanaleta ushindani sana humu ndani....
Hivi kwa makadirio watu wanaweza kuanza kuitwa lini RTS?Jau hao we fata tu maelekezo ya mbanga wako
Watakuja wajuzi wajibu hiliHivi kwa makadirio watu wanaweza kuanza kuitwa lini RTS?