Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wakuu kwema imekaaje hii napokea taarifa za mwezi wa 11. Mwezi wa 9 sio hawa wapya.
Taarifa umepewa lakinj hata kuiwasilisha vyema ueleweke umeshindwa...
alafu acha kuturusha nyie ndio tulkua tunabishana humu applctn zitakua mwez wa tisa mara 11 ona sasa bom likalipuka 7 saiv mnakuja tena na agenda za umeskia mwez 11 sasa hiyo 11 kuna nn tena?....
 
Yaaan kwanz ukiona unatumia mbanga afu anakwambia kuwa utume na barua jua huyo anabeti mbanga wa uhakika anadai jina,force no, na nida basi apo ni kukutana rts tu
 
Dah! Maisha bwana, zamani hizi kazi zilikua zinakimbiwa kabisa, ila saivi ni dili hatari, yaani mbanga zinapigana vikumbo kuweka watu wao. Marehemu babu yangu alikuaga mjeshi alitaka kuwapush watoto wake wa kiume waingie huko,walitoroka hom wiki mbili, walivorudi akatemana nao ,saivi wakinisimuliaga huwa wanajilaani sana,wanasingizia ulikua ni utoto. wanakwambia enzi hizo kigezo ni Ujue Kusoma na Kuandika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…