Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
15kEms,dar hadi dodoma malipo sh ngapi wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
15kEms,dar hadi dodoma malipo sh ngapi wakuu.
posta kuleLipia tu mazee Muda unakwenda Sana afu kwani Dar ukiachana na ofisi zao zilizopo airport nyngne ziko wapi??
😂😂Uwakika kitenge muhimuOaa mkuu siunajua tena watu tunataka ile mama Tipidiiiiii😂😂
Ivi koz ya RTS unavaa kama kuruti au😂😂Uwakika kitenge muhimu
Ndio unavaa karanga ukija utapewaIvi koz ya RTS unavaa kama kuruti au
Tuma tu hamna jinsi hapoDadeq wamenambia 12k.
Kwamba unamaanisha pitshort🤣🤣🤣 jau weweIvi koz ya RTS unavaa kama kuruti au
UKurutu wa rts anavaa karangaIvi koz ya RTS unavaa kama kuruti au
"Ukija utapea" mbona kauli kama upo uko shuleni kutupokea wadudu,kuruta, watu wa Mungu ututese[emoji23][emoji2]Ndio unavaa karanga ukija utapewa
Kuna iyo moja niliiona kuruta wanakesha na nguzo tu full kupokezana uku bakora za mgongo zinatembea[emoji16][emoji16]Au niongeze msosi nisije kupata nyongea?. Kuna moja nilionaga video wameruka kichura characters mpak bidada analia na mmoja kazima kazima anapepewa
M nljua Ivo 😂Kwamba unamaanisha pitshort🤣🤣🤣 jau wewe
🤣🤣🤣mtazikuta tu na Vikwazo kam vyoteKlKuna iyo moja niliiona kuruta wanakesha na nguzo tu full kupokezana uku bakora za mgongo zinatembea[emoji16][emoji16]
Unamaanisha somo la fimbo au🤪🤪🤪🤣🤣🤣mtazikuta tu na Vikwazo kam vyote
Adi ŵew nikufundishe code akati .......Unamaanisha somo la fimbo au🤪🤪🤪
Skiliza maelekezo ya mbanga wakoKwaio wakuu tumekubalianaa tunatuma kwa njia ya EMS?
Sina mbanga mwanangu m najipambania mwenyew tuSkiliza maelekezo ya mbanga wako
Tuma kwa EMS ,ww endelea kujiuliza tuSina mbanga mwanangu m najipambania mwenyew tu
🤪🤪Sina mbanga mwanangu m najipambania mwenyew tu
Only GOD knowsoyaaa wanajeshi wenyewe wanatoa hela kwa wakubwa tutapata kweli😂😂