Adam john mbonile
Senior Member
- Oct 20, 2021
- 101
- 75
Hamna kitu Mzee wasiwatishe ninyi mlio kidhi vigezoBasi kam ni ivo Hao walipeleka kwa mikono ndo first priority kuliko Barua nyngi hazisomwi ndani ko kam mtu unachance panda tu doma mwenyew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu Mzee wasiwatishe ninyi mlio kidhi vigezoBasi kam ni ivo Hao walipeleka kwa mikono ndo first priority kuliko Barua nyngi hazisomwi ndani ko kam mtu unachance panda tu doma mwenyew
Nauli dar dodoma ya sgr bei gani? nijilipue
Hivi makao makuu ya JWTZ DODOMA IPO located sehemu gani ni ihumwa au?Mimi niliandika kwenye karatasi wakanambia ukiandika kwenye barua tu inatosha
Mahali panaitwa msalato mbele kidogo ya chuo cha mipangoHivi makao makuu ya JWTZ DODOMA IPO located sehemu gani ni ihumwa au?
Arusha roadMahali panaitwa msalato mbele kidogo ya chuo cha mipango
Mkuu Zanzibar nako kuna mafunzo y jwtz?Vp dogo lako ye kapeleka dodoma au ndo mbanga kamwambia asubir tu kupangiwa sehemu ya kuripoti eidha pwani chuga au zenji
Nliskia lkn sna uhakikaMkuu Zanzibar nako kuna mafunzo y jwtz?
Zanzibar ilivyo kubwa vile inakosaje mkuu? Mwaka jana hawakupangwa kule?Nliskia lkn sna uhakika
Kule kuna kambi kozi kubwa inafanyikaga lakin kuhusu hii ya awali sidhaniZanzibar ilivyo kubwa vile inakosaje mkuu? Mwaka jana hawakupangwa kule?
Mara nyingi MASAJENTI na MAKOPLO huwa wanaenda kupiga kozi zao kule…Kule kuna kambi kozi kubwa inafanyikaga lakin kuhusu hii ya awali sidhani
YahHabari zenu kwaiy hakuna majina ni sms tu na vipi ukiitwa usahili ndo moja kwa moja au unaenda usahil then inatoka tareh y kuripoti
Hujajibu swali mkuu
Ukiitwa kufanya usahili ndo moja kwa moja ukipita huwez rud homeHabari zenu kwaiy hakuna majina ni sms tu na vipi ukiitwa usahili ndo moja kwa moja au unaenda usahil then inatoka tareh y kuripoti
Huyu ndo kajibu swali sasaUkiitwa kufanya usahili ndo moja kwa moja ukipita huwez rud home
Kuanza kuitwa sahili hapo ndo patam. Nakubali sana asee.. lete lonja mkuuUkiitwa kufanya usahili ndo moja kwa moja ukipita huwez rud home
Kijana hata deadline haijafika ,kama umekidhi vigezo utaitwaa tuVp wakubwa watu wataitwa lini mashuleni kwenye usahili.....wenye ronja
Mwanangu unautaka kichizi. Tangazo toka litangazwe leo siku ya tano tu! Yan hapo kuanza kuitwa kuanzia tarehe 20 hiyoVp wakubwa watu wataitwa lini mashuleni kwenye usahili.....wenye ronja