Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kijana hata deadline haijafika ,kama umekidhi vigezo

Mwanangu unautaka kichizi. Tangazo toka litangazwe leo siku ya tano tu! Yan hapo kuanza kuitwa kuanzia tarehe 20 hiyo

Mwanangu unautaka kichizi. Tangazo toka litangazwe leo siku ya tano tu! Yan hapo kuanza kuitwa kuanzia tarehe 20 hiyo
naomba kuuliza mkuu ivii kama una mmbanga ni details ghn za msingi ambazo anapaswa kuchukua kutok kwako maana kuna mdogwangu ameambiwa atume Majina na barua tu alafu akaambiwe atume maombi kama walivo elekez ili iwe kama reference
 
naomba kuuliza mkuu ivii kama una mmbanga ni details ghn za msingi ambazo anapaswa kuchukua kutok kwako maana kuna mdogwangu ameambiwa atume Majina na barua tu alafu akaambiwe atume maombi kama walivo elekez ili iwe kama reference
Fuata maelekezo hayo hayo ya mbanga wako wengne wanaambiwa tu andaa vyeti ila saizi leta majina tu na anaondoka ivo msikilize mbanga wako
 
naomba kuuliza mkuu ivii kama una mmbanga ni details ghn za msingi ambazo anapaswa kuchukua kutok kwako maana kuna mdogwangu ameambiwa atume Majina na barua tu alafu akaambiwe atume maombi kama walivo elekez ili iwe kama reference
Mwambie kama yupo mbali atume kwa EMS Ili reference iwahi kufika
 
Kuuponza yote ni majaliwa mkuu....alaf pia wewe ni mtu mzima pia kichwan upo smart so jitahid kudadavua baadhi ya vitu bas mpaka ukiona mtu anauliza tareh ya kuitwa huwez jua ni mingo ngap ameset kwa wakati huo.
Muache auponze tu ila akifika Ataanza kuomba poo yeye mwenyew
 
Mkuu Koz ya RTS haina rehearsal usfanye hayo mazoezi kwamba ndo rehearsal ya kujiandaa na koz we fanya kwa faida yako tu kule lazma ule kazi ya maana.
Au niongeze msosi nisije kupata nyongea?. Kuna moja nilionaga video wameruka kichura characters mpak bidada analia na mmoja kazima kazima anapepewa
 
Back
Top Bottom