SKYWALKER_201
Member
- Sep 27, 2022
- 30
- 18
Kijana hata deadline haijafika ,kama umekidhi vigezo
Mwanangu unautaka kichizi. Tangazo toka litangazwe leo siku ya tano tu! Yan hapo kuanza kuitwa kuanzia tarehe 20 hiyo
naomba kuuliza mkuu ivii kama una mmbanga ni details ghn za msingi ambazo anapaswa kuchukua kutok kwako maana kuna mdogwangu ameambiwa atume Majina na barua tu alafu akaambiwe atume maombi kama walivo elekez ili iwe kama referenceMwanangu unautaka kichizi. Tangazo toka litangazwe leo siku ya tano tu! Yan hapo kuanza kuitwa kuanzia tarehe 20 hiyo