Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Kama saizi mbanga Wanapambana kinoma nafasi ni nyingi sana ila Hazitoshi 🤣🤣 kila lakheri wapambanajiDah! Maisha bwana, zamani hizi kazi zilikua zinakimbiwa kabisa, ila saivi ni dili hatari, yaani mbanga zinapigana vikumbo kuweka watu wao. Marehemu babu yangu alikuaga mjeshi alitaka kuwapush watoto wake wa kiume waingie huko,walitoroka hom wiki mbili, walivorudi akatemana nao ,saivi wakinisimuliaga huwa wanajilaani sana,wanasingizia ulikua ni utoto. wanakwambia enzi hizo kigezo ni Ujue Kusoma na Kuandika tu.
Wapi?Hapoooooooooo😄
Walee watu😂😂😂Hapoooooooooo😄
Wamefanyaje🤣🤣Walee watu😂😂😂
Nikajua mambo tayariHamna jambo wanangu sema kimya kingi sana humu ndani ngoja turushane kwanza😄
Muhimu ni maelekezo kuna dogo mtaani apa hajawahi kanyaga JKT saivi yupo chomboniNa hata kama hujakidhi vigezo utaitwa tu.IYKYK
kinawaka au sioVery soon.
Hizi mambo za majakata cjui umri ni kwaajir ya watu ambao ha2na conneeeeee😄😄😄Muhimu ni maelekezo kuna dogo mtaani apa hajawahi kanyaga JKT saivi yupo chomboni
Muhimu ue ndani.kinawaka au sio
Umesema kweli 😀Hizi mambo za majakata cjui umri ni kwaajir ya watu ambao ha2na conneeeeee😄😄😄
.ila nahis mwez wa 9 maan hii ni jazia nyama kuna watu walioishafanyiwa usahili vikosini awali kwahiyo waliotuma maombi wataangalia wenye sifa/vigezo watavutiwa waya au sms watajumuishwa kufikia l
Kwahiyo hawaendi kupima afya ni moja kwa mojaYaaan kwanz ukiona unatumia mbanga afu anakwambia kuwa utume na barua jua huyo anabeti mbanga wa uhakika anadai jina,force no, na nida basi apo ni kukutana rts tu
***** orj hii kambi ina baridi sana nilipiga pale mujibu kabla ya kupata RtsWakuu naombeni mnitajie vitu vya kwenda navyo ninunue kabisa. Mambo yasiwe mengi pale orj