Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kaka samahani ww ni muhaya?***** orj hii kambi ina baridi sana nilipiga pale mujibu kabla ya kupata Rts
Watapimwa before ya kozi kuanza hapo mchuano unakuwa mkali zaidiKwahiyo hawaendi kupima afya ni moja kwa moja
Mbona iko wazi hiyoHizi mambo za majakata cjui umri ni kwaajir ya watu ambao ha2na conneeeeee😄😄😄
Kule hakuna kitengo jiko kule ni kwata karet tungekwambia ila nenda ujionee mwenyeweMwendo wa Vitenge tuView attachment 3069238
Ajasema kitengo bali kasema ni mwendo wa vitenge tu yaan Bakabaka😁Kule hakuna kitengo jiko kule ni kwata karet tungekwambia ila nenda ujionee mwenyewe
Bogi hili naskia itakua nyomi sana omba mungu uwe miongoni....pengn 7b next year general electionIvi wanchukuaga watu wangapi kwani
Ahahah sikusomaa vzrAjasema kitengo bali kasema ni mwendo wa vitenge tu yaan Bakabaka😁
Bora umeweka sawaAjasema kitengo bali kasema ni mwendo wa vitenge tu yaan Bakabaka😁
👊🏽Ahahah sikusomaa vzr
wanahitajika wapiganaji wakutosha ndo maana form4 na 6 wamepewa kipaombele. ila yote kwa yote hata kama unajua unakasoro kiasi gani hili bogi usiache kutuma maombi .Bogi hili naskia itakua nyomi sana omba mungu uwe miongoni....pengn 7b next year general election
wanahitajika wapiganaji wakutosha ndo maana form4 na 6 wamepewa kipaombele. ila yote kwa yote hata kama unajua unakasoro kiasi gani hili bogi usiache kutuma maombi .
hahhahha utabaki unacheka, utaenda kulilia kwenuUnalijua jeshi au unalisikia sifa mmbanga mzee unaweza uka uko fit kabisa lakin ukaenda kihangaiko ukapimwa ukaambiwa unadalili za kifafa
Ila kasoro nilizokuwa namaanisha hapa ni kama zile mtu hajapita JKT, ama umri umesogea 28-29, hizi zote hazikunymi kuwa mjeshi.Unalijua jeshi au unalisikia sifa mmbanga mzee unaweza uka uko fit kabisa lakin ukaenda kihangaiko ukapimwa ukaambiwa unadalili za kifafa
Kuna mtu aliambiwa wewe mfupi hautufai kabisa ushawai sikia jeshi linachagua watu kwa kimo? Yule aliambiwa ww mfupi hufai yaani smg imekushinda ulefu hata vipimo hakufanya akafukuzwaa omben sanahahhahha utabaki unacheka, utaenda kulilia kwenu
Daah wakati akina Nyundo walivaa kitenge na ufupi ule, ama kweli Life is not fairKuna mtu aliambiwa wewe mfupi hautufai kabisa ushawai sikia jeshi linachagua watu kwa kimo? Yule aliambiwa ww mfupi hufai yaani smg imekushinda ulefu hata vipimo hakufanya akafukuzwaa omben sana
Achekecha mkuu kuna watu wanasema wao darasa la saba ila ukiwaona unakataaIla kasoro nilizokuwa namaanisha hapa ni kama zile mtu hajapita JKT, ama umri umesogea 28-29, hizi zote hazikunymi kuwa mjeshi.
N.B Mbanga muhimu
We acha tu yaan pale kihangaiko ndio mwisho kama mmbanga wako hana maji unatoka kweupeee kuna bog la baba kanituma kabla kozi kuanza mtajione wenyeweDaah wakati akina Nyundo walivaa kitenge na ufupi ule, ama kweli Life is not fair
Naona kuna mwamba ana ndevu kabisa hapo.Mwendo wa Vitenge tuView attachment 3069238