Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mwendo wa Vitenge tu
20230821_213157.jpg
 
Bogi hili naskia itakua nyomi sana omba mungu uwe miongoni....pengn 7b next year general election
wanahitajika wapiganaji wakutosha ndo maana form4 na 6 wamepewa kipaombele. ila yote kwa yote hata kama unajua unakasoro kiasi gani hili bogi usiache kutuma maombi .
 
Unalijua jeshi au unalisikia sifa mmbanga mzee unaweza uka uko fit kabisa lakin ukaenda kihangaiko ukapimwa ukaambiwa unadalili za kifafa
wanahitajika wapiganaji wakutosha ndo maana form4 na 6 wamepewa kipaombele. ila yote kwa yote hata kama unajua unakasoro kiasi gani hili bogi usiache kutuma maombi .
 
Back
Top Bottom