Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Yaah hao ndo watu tunaowahitaji wazee wa madini🤣Kaka kateleza kidogo tu ila yupo mulemule....kuna mwamba yupo orjolo saiv sahil za Tanapa....kaniambia ni kwel kuna maanga mapya ndio wanamalizia finishing....
soon kinawaka Omar omar mwaga madini una vitu 😄
Liveee inaweza tokea mwaka huu....kama ronja za mwanzo zlkua kwel kuwa 10K na zenj watapigisha koz jumla shule 3.....Unakumbuka 2022 Jin's walvokua nyomi. Zilipigwa bogi 2 kihangaiko alaf baada ya kuhitimu ikapigwa Moja oljoro
Sio wale kina ahmed ally😂Yaah hao ndo watu tunaowahitaji wazee wa madini🤣
Ee this term walitaka shule tatu kukawa na mvutano ndo sababu ya kuongeza maanga RTS zote mbili, hivyo kozi ni zile zile shule mbiliLiveee inaweza tokea mwaka huu....kama ronja za mwanzo zlkua kwel kuwa 10K na zenj watapigisha koz jumla shule 3.....
Ila kama hii wameongeza maanga bas kita happen khnghk na oljoro
Ushaanza Nongwa mkuu, utakimbiza watu mzee acha tupate lonja bila masimangoSafi sana una madini mkuu...wale wazee wa kutoa point na kushindwa kuitetea njoeni mjifunze uwasilishaji hapa
mkuu au na wewe ndio unakimbiza na kushikilia watu na stick kwa wingi nini😂😂Kalaga Baho ukifika Rts kihangaiko nitafute ndugu yangu nina zawadi yako ya mdogo wangu but utakubaliii
Izeeeeeeeee👊🏽Ushaanza Nongwa mkuu, utakimbiza watu mzee acha tupate lonja bila masimango
Kaka we n mkufunzi na hausemi 🙌Ee this term walitaka shule tatu kukawa na mvutano ndo sababu ya kuongeza maanga RTS zote mbili, hivyo kozi ni zile zile shule mbili
Bora meseji pdf macho mengi 😅😅 tutarogwaaSema mwanangu suala la kutumiwa meseji watu zaidi ya 5000 sio kwel mi najua siku ikifika ni mkeka pdf la maana usipoona jina bhs tena jarbu mwakani
AMINI KWAMBA siunajua sio kila majani ni dawa mengine ni sumu😄Bora meseji pdf macho mengi 😅😅 tutarogwaa
Wanatakiwa washtuke ushavaa kitenge ✊AMINI KWAMBA siunajua sio kila majani ni dawa mengine ni sumu😄
Apo ni kuomba mungu kaka mi nilivoenda kupeleka Kuna watu waliokua na result slip walikua wanafukuzwaNa swali wakuu .kuhusu kwenye.yale maombi. Ukitumia cheti cha form four na result slip ya fom six(sio cheti..nadaiwa shulen😂)ila vigezo pengine vzr .kuna kutoboa apo
mkuu kwa posta .vip hazipokelewiWanangu za chini ya kapeti wanasema wameanza na waliopeleka barua makao makuu, waliopeleka posta hawakuelewa maelekezo barua za posta hazijafika