Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Unakumbuka 2022 Jin's walvokua nyomi. Zilipigwa bogi 2 kihangaiko alaf baada ya kuhitimu ikapigwa Moja oljoro
Liveee inaweza tokea mwaka huu....kama ronja za mwanzo zlkua kwel kuwa 10K na zenj watapigisha koz jumla shule 3.....

Ila kama hii wameongeza maanga bas kita happen khnghk na oljoro
 
Liveee inaweza tokea mwaka huu....kama ronja za mwanzo zlkua kwel kuwa 10K na zenj watapigisha koz jumla shule 3.....

Ila kama hii wameongeza maanga bas kita happen khnghk na oljoro
Ee this term walitaka shule tatu kukawa na mvutano ndo sababu ya kuongeza maanga RTS zote mbili, hivyo kozi ni zile zile shule mbili
 
Na swali wakuu .kuhusu kwenye.yale maombi. Ukitumia cheti cha form four na result slip ya fom six(sio cheti..nadaiwa shulen😂)ila vigezo pengine vzr .kuna kutoboa apo
Apo ni kuomba mungu kaka mi nilivoenda kupeleka Kuna watu waliokua na result slip walikua wanafukuzwa
 
Mi naona posta kama uliandika anuani kwa usahihi na uliwahi kutuma kufika ni lazima
 
Afu kuanzia monday kuna usahili unafanyika mlale jkt wa kuingia TMA kwa waliosoma sayansi advance
 
Back
Top Bottom