Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Daah, huzuni sana captain, nimelia sanaaa, pole aisee
 
Kuna bidada alikutwa na sikoseli ikabidi atemwe. Nikasikia ilipigwa simu moja tu.. ile simu ikapigiwa saluti na akarudishwa mzigoni muda huohuo
 
Hayo ni maelekezo japo mara nyingi kwenye magonjwa hua wanakua serious sana labda maelekezo yalikua makubwa ndiomana akatoboa
Ilitolewa amri amalize kozi.. watajua wao Ma-M-O wajaze nn ili yule amalize kozi ile. Unajua hierarchy ilivyo? Jambo likitoka juu kwenda chinj ni Amri hata kama limewsilishwa kama ombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…