Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Daah leo watu wanalaani tu hhahah. Age, JKT,Kimo, ni kwa akina kajamba nani, ila wenye maelekezo hata haiwahusu Amini ninavowaambia
Mm nina futi 4.7 tu hapa kama kipipa, sijapita jkt. Hapa nilipo hata maombi sijatuma, mbanga ninaye ila nina imani kubwa kuwa Sitoboi mana sikutamani kabisa. Niwatoe wasiwasi wazee wa lonja! Mana Padone EPM na Mjukuu wa taifa wanajua niko RTS mda huu nishatangulia kabisa
 
Hahahaha mkuu futi 4.7 au we ndio yule nyundo😂 usiwe na shaka utatoboa tu kuwa standby na mbanga wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…