Kitu ambacho simshauri mtu ni kuhonga hela mana kama mbanga inania ya kukusaidia wala haitaki hela jina tuUkaloge kwelikweli.. kuna mwanangu aliweka hadi kiwanja chake cha milion saba rehani kwa mbanga wampige push atoboe
Advanced capitalism.. ukipata mbanga mbanga kweli sim moja tuNashangaa huku watu wanasema kama hujapita JKT usijisumbue ngoja hawataamini una force number yako ya jkt na cheti chako utakiangalia tu mtu hana chochote anaenda unaachwa
Yah jamaa wanachukua kila kitu unawaachia nyaraka tu. We kalale utaitwa kna watu wanatuzushiwa wagonjwa watimuliwe uwekwe wewe.Kitu ambacho simshauri mtu ni kuhonga hela mana kama mbanga inania ya kukusaidia wala haitaki hela jina tu
Atari kakaAdvanced capitalism.. ukipata mbanga mbanga kweli sim moja tu
Kuna watu 34 watatoboa humohumo na nyie 27 mpoAge sio shida kaka nani yupo nyuma yako
Uteme damu ya nn mkuu wqkati unaambiwa unywe maji ya kutosha. Moyo wenyew unaelea damu isielee kwa nnNaambiwa safar hii coz itakua sio poa lazima raia wateme Damu
mambo mengine yanakatisha tamaa sana imagine umepambana then unatemwa kizembe tuYah jamaa wanachukua kila kitu unawaachia nyaraka tu. We kalale utaitwa kna watu wanatuzushiwa wagonjwa watimuliwe uwekwe wewe.
Unaambiwa mnafanyiwa intro mnazungushwa kambi nzima, kwa kutembea lakin sio kutumia miguu miwili. Tumbo ndo linfanya kazi ya miguuukibahatika kwenda utajionea
roho yako mwili ni waoUnaambiwa mnafanyiwa intro mnazungushwa kambi nzima, kwa kutembea lakin sio kutumia miguu miwili. Tumbo ndo linfanya kazi ya miguu
😂😂 Wajuba wakaja kuziba mapengo hao ndio wake baba kanituma anavaa kitenge hila kupita jakata??Alafu kabla hatujaondoka wakaja watu toka mtaani nahisi ndio walijaza zile nafasi tuliotemwa
Iyo intro ngumu sana ogopa aseUnaambiwa mnafanyiwa intro mnazungushwa kambi nzima, kwa kutembea lakin sio kutumia miguu miwili. Tumbo ndo linfanya kazi ya miguu
Mm nina futi 4.7 tu hapa kama kipipa, sijapita jkt. Hapa nilipo hata maombi sijatuma, mbanga ninaye ila nina imani kubwa kuwa Sitoboi mana sikutamani kabisa. Niwatoe wasiwasi wazee wa lonja! Mana Padone EPM na Mjukuu wa taifa wanajua niko RTS mda huu nishatangulia kabisaDaah leo watu wanalaani tu hhahah. Age, JKT,Kimo, ni kwa akina kajamba nani, ila wenye maelekezo hata haiwahusu Amini ninavowaambia
Weeeee.... inakuaje kuaje mkuuIyo intro ngumu sana ogopa ase
Uteme damu ya nn mkuu wqkati unaambiwa unywe maji ya kutosha. Moyo wenyew unaelea damu isielee kwa nn
Sio mafadhaiko mkuu, ni shuhuda tu! Ukate tamaa umkatie nani?Thread leo imechangamka, halafu inaenda kwa nyuzi za manung’uniko tu, as if watu mshajua kama umo ama haumo…
Kunywa maji mengi, andaa mwili, tunza afya na MSUMBUE SANA MBANGA..
UTATOBOA 🤲🏽
Hahahaha mkuu futi 4.7 au we ndio yule nyundo😂 usiwe na shaka utatoboa tu kuwa standby na mbanga wakoMm nina futi 4.7 tu hapa kama kipipa, sijapita jkt. Hapa nilipo hata maombi sijatuma, mbanga ninaye ila nina imani kubwa kuwa Sitoboi mana sikutamani kabisa. Niwatoe wasiwasi wazee wa lonja! Mana Padone EPM na Mjukuu wa taifa wanajua niko RTS mda huu nishatangulia kabisa
Nyundo kwangu bado mrefu.. hali yangu mbaya sana kwenye urefu. Ndo mana nimejichafua na siksi Paki na ugimbiHahahaha mkuu futi 4.7 au we ndio yule nyundo😂 usiwe na shaka utatoboa tu kuwa standby na mbanga wako
Kuna maovyo ovyoWeeeee.... inakuaje kuaje mkuu