cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
JF wananyima ladha ya voice, watuekee bhana, cjui mello ana fall wapiii?Hivi PM hamnaga voice note eeh..!?
Nlitaka nisikie hiki kicheko [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF wananyima ladha ya voice, watuekee bhana, cjui mello ana fall wapiii?Hivi PM hamnaga voice note eeh..!?
Nlitaka nisikie hiki kicheko [emoji41]
Hebu ufanye uje uchekee kwenye wasapu yangu.. 🙂JF wananyima ladha ya voice, watuekee bhana, cjui mello ana fall wapiii?
Labd Oljoro ila khnghk mpk jana ilkua bado,,,,, hope kweny wik ya mwisho au ya kwnz mwez wa7Kuna baadhi ya ronja zinadai kuna vikundi vishaanza kuwasili rts.
Ziliingia Kosta 2 za ma service wanatokea ruvu kwenda kufanya usafi na ukarabati mdogoKuna baadhi ya ronja zinadai kuna vikundi vishaanza kuwasili rts.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi niwe mbanga, subiri subiri kwanHebu ufanye uje uchekee kwenye wasapu yangu.. [emoji846]
Dah, sawa…wacha na mimi ntafute hela kwanza 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi niwe mbanga, subiri subiri kwan
Sikukuu imeisha tayariMkuu Zafrain sag siku hizi huleti lonja tena,Em tupatie a,b,c,d za kinachoendelea huko Makao Makuu ili wazalendo tujue.
Tusubiri mapya tuSikukuu imeisha tayari
Mambo bado Ila huu Ndo wakati wa kupiganisha..tusikate tamaahii imeenda kam mwaka jana
Mkuu hii niliiskia toka mwezi jana ila naomba nieleze kidogo japo kwa code ngum mweny kuelew ataelewa.....Ngoma inaenda Zanzibar safari Hii msitegemee sana Rts japokuwa nahis watagawa Bog
Daaah mkuu,Toka niajiriwe na utumishi nakuwa busy sanaaa,Hivyo nashindwa pia nakosa na mda wa kutafuta info!!!!Ila update ya mwisho niliyoitoa ilkuwa sahihi kaka, Sijapata maelekezo kuwa ni tofauti na July kuripoti.Mkuu Zafrain sag siku hizi huleti lonja tena,Em tupatie a,b,c,d za kinachoendelea huko Makao Makuu ili wazalendo tujue.
HahahaMkuu hii niliiskia toka mwezi jana ila naomba nieleze kidogo japo kwa code ngum mweny kuelew ataelewa.....
Unacheka msibani watu wanastili kweli wewe katili😄😄Hahaha