Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Kwamba watu washaanza kuingia kihangaiko na hawataki kusema ausio😎Daaah ila humu watu wana siri sana😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba watu washaanza kuingia kihangaiko na hawataki kusema ausio😎Daaah ila humu watu wana siri sana😂😂😂😂
Habari zilizopo na ya humu tofauti…Kwamba watu washaanza kuingia kihangaiko na hawataki kusema ausio😎
Eleza kwa upana mkuuHabari zilizopo na ya humu tofauti…
Inshort kwa wale wanaotegemea msata na mambo bado wajiandae kwa lolote tu
Ikibidi wafanye mishe zingine
Acha usenge eleza kwa upana70% msomera
Kaka ongea na mbanga lako vizuriEleza kwa upana mkuu
Lengo la Uzi ni kupeana lonja mkuu Bora usinge comment kama unafichafichaKaka ongea na mbanga lako vizuri
Hiiiii 😂Acha usenge eleza kwa upana
simu washapigiwa,wanaripoti mwezi huuLengo la Uzi ni kupeana lonja mkuu Bora usinge comment kama unafichaficha
LOya wazee wangu, kuna Lonja nimelipata jana, sijui kuhusu ukweli wake.
Kuna dogo katoka NIT (Nadhani ndo anamaliza chuo), Katoa mzigo kiasi fulani, kajazishwa fomu, akaambiwa ajiandae kuripoti mwezi wa 8…
Huyo hapiganishi…AnapiganishiwaMpe pole ana piganisha saivi .....
L
Oya wazee wangu, kuna Lonja nimelipata jana, sijui kuhusu ukweli wake.
Kuna dogo katoka NIT (Nadhani ndo anamaliza chuo), Katoa mzigo kiasi fulani, kajazishwa fomu, akaambiwa ajiandae kuripoti mwezi wa 8…
Yeye kapigiwa lini ?simu washapigiwa,wanaripoti mwezi huu
Dem yupo kwenye maandalizi na ndugu wa karibu wanamuaga/tunamuaga😂
😂😂kibunda kimeenda Yooo... daaah ila watu kazi ipoView attachment 3038223
Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
Huko sijauliza,mimi nlienda kusalimia tu nkakuta hilo shangweYeye kapigiwa lini ?
Hio form haina hata tarehe😂😂😂View attachment 3038223
Sijawahi sikia kama kuna fomu za kujaza ukiwa mtaani kabla ya kuingia kule ila kama kajazishwa fomu kama ya hapo juu basi mpe pole kashapigwa.
Mmmh huyu standard 7 ni uongo kupata labda tukae kimyaHuko sijauliza,mimi nlienda kusalimia tu nkakuta hilo shangwe
Tena dem ni std7 tu ila ma Jkt ma mugambo huko kashachafua na jeshi lipo damuni mbaya.