Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Nikikosa sipat kitu. Utaninganishe nae mkuu najua nitakutana nae msata pale mana mm na kuroga naroga hii bogi ntakuwepo. Nishachukua chumvi ya mawe, udi sandal, ubani maka na pumbu za nyani jioni hii
Ukifika Rtiesin Nitafute kwa PM yangu nikuoneshe mdogo wangu ni wakike Ila kivumbi anamishauo sana kuongea tu shida ata kozi sijui atamalizaje
 
Back
Top Bottom